Friday, January 18, 2019

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aiagiza Mikoa Minane Inayolima Pamba Kuongeza Kasi ya Usimamizi kwa Kutoa Elimu kwa Wakulima, Simiyu Yaahidi Kuongeza Uzalishaji Hadi Tani 240,000, Yajiandaa Kumkwamua Mkulima Kuondokana na Utegemezi wa Mikopo.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka akiwa na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama pamoja   na viongozi mbalimbali ngazi ya mkoa wakifuatilia mkutano kwa njia ya mawasiliano ya video (Video Conference) ulioongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kujadili mwendendo wa kilimo cha Pamba.
Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Simiyu wakifuatilia mkutano kwa njia ya mawasiliano ya video (Video Conference)  kati ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  na wakuu wa mikoa minane inayolima pamba katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Simiyu mjini Bariadi.

Mkuu wa mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka  akiwa pamoja na makatibu tawala wasaidi wakifuatilia mkutano kwa njia ya mawasiliano ya video (Video Conference) kati ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Wakuu wa mikoa minane katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa mjini Bariadi.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka akiwa na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama pamoja   na viongozi mbalimbali ngazi ya mkoa wakifuatilia mkutano kwa njia ya mawasiliano ya video (Video Conference) ulioongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Mkuu wa mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka akichangia hoja kuhusu mikakati ya kuboresha kilimo cha zao la pamba katika mkutano kwa njia ya mawasiliano ya video (Video Conference) kati ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Wakuu wa mikoa minane.

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!