Friday, September 13, 2019

MAAFISA WATAKAIWA KUTOA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA CHAKULA KUKABILIANA NA UTAPIAMLO


Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akifungua Mkutano wa wadau wa lishe wa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA (CUAMM) ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Mkuu wa Wilaya ya Itilima, Mhe. Benson Kilangi akichangia hoja katika Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Meneja wa mradi wa DOCTORS WITH AFRICA Mkoani Simiyu, Bi.  Fortihappiness Mumba akiwasilisha taarifa ya mradi huo katika Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Mhe. Dkt. Seif  Shekalaghe akichangia hoja katika Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Afisa Lishe wa mkoa wa Simiyu Dkt. Chacha Magige, akiwasilisha taarofa ya hali ya lishe ya mkoa, katika Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Baadhi ya wadau wa lishe wakifuatilia Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini (katikati) akiwa katika picha pamoja na wadau wa lishe mkoa wa Simiyu mara baada ya kufungua Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini (katikati) akiwa katika picha pamoja na wadau wa lishe mkoa wa Simiyu mara baada ya kufungua Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Baadhi ya wadau wa lishe wakifuatilia Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Baadhi ya wadau wa lishe wakifuatilia Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Baadhi ya wadau wa lishe wakifuatilia Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.
Mkazi wa Bariadi, Bw. Richard Singi akishuhudia namna tiba lishe ilivyomsaidia mwanae Penina Richard ambaye alipata utapiamlo mkali kurudi kwenye hali yake ya kawaida, katika Mkutano wa wadau wa lishe, uliofanyika Mjini Bariadi Septemba 10, 2019 kwa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA-CUAMM ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu.


0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!