Monday, March 9, 2020

MAKAMU WA RAIS AONGOZA KILELE MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KITAIFA MKOANI SIMIY


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaongoza wananchi katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniania ambayo yamefanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu.
Maadhimisho haya yenye Kauli Mbiu “Kizazi cha Usawa Kwa Maendeleo ya Tanzania ya Sasa na ya Baadaye” yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali waliopo madarakani na wastaafu wakiwemo Mama Getrude Mongela, Mama Anna Abdallah, Spika Mstaafu wa Bunge la Tanzania, Mhe. Anne Makinda, Mwenyekiti wa UWT Taifa, Ndg. Gaudensia Kabaka, Katibu wa UWT Taifa, Ndg. Queen Mlozi na viongozi wengine
Katika maadhimisho hayo Mhe. Makamu wa Rais ametembelea mabanda ya Maonesho ya kazi mbalimbali za wanawake, mashirika, taasisi na wadau wa maendeleo wanaojihsisha na masuala ya wanawake na baadaye akapokea maandamano ya wanawake kutoka maeneo mbalimbali nchini.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Maandamano kwenye Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri Bariadi Mkoani Simiyu leo March 08,2020.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )
Wananchi Wanawake Mkoani Simiyu wakiwa kwenye Maandamano ya kusherehekea Maadhimisho ya  siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu  March 08,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga akiongoza Maandamano kwenye Maadhimisho ya  siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu leo March 08,2020. .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )
Wananchi Wanawake Mkoani Simiyu wakiwa kwenye Maandamano ya kusherehekea Maadhimisho ya  siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu  March 08,2020. .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )

Wananchi Wanawake Mkoani Simiyu wakiwa kwenye Maandamano ya kusherehekea Maadhimisho ya  siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu  March 08,2020. .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )

 Wananchi Wanawake Mkoani Simiyu wakiwa kwenye Maandamano ya kusherehekea Maadhimisho ya  siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu  March 08,2020. .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )

 Wananchi Wanawake Mkoani Simiyu wakiwa kwenye Maandamano ya kusherehekea Maadhimisho ya  siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu  March 08,2020. .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )

 Askari Polisi wa Kike wakiwa na Furaha Kwenye Maandamano ya  siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu March 08,2020. .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )

Mkurugenzi  Mipango wa  Pamba  Samweli Kilua akimkabidhi Mkakati wa Mapinduzi ya Kilimo cha Pamba Mkoani Simuyu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwenye maonesho ya kilele cha siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauriya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu  March 08,2020. .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimsikiliza Afisa Mikopo katika benki ya Postal Bank Tanzani TPB Tawi la Simiyu Shedrack Daudi alipotembelea banda la Banki hiyo kwenye maonesho ya kilele cha siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu March 08,2020. .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia moja ya aina ya bidhaa ya kitenge alipotembelea Banda la Benki ya Posta Tanzania TPB Tawi la Simiyu kwenye maonesho ya kilele cha siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu  March 08,2020. .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )
 Baadhi ya viongozi na wadau walioshiriki katika Kilele cha Maadhimisho ya Wanawake Duniani Machi 2020, yaliyofanyika Uwanja wa Halmashauri ya mji wa Bariadi .(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akimtuza Msanii na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mhe. Vick Kamata wakati alipotumbuiza kwa wimbo maalum katika kilele cha Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri Bariadi Mkoani Simiyu March 08,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!