Monday, March 9, 2020

MAPATO YATAKAYOTOKANA NA STENDI BARIADI YAKAFANYE KAZI ZA WANANCHI: MAKAMU WA RAIS


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema wafanyabiashara watakaopangishwa katika jengo la Stendi ya Kisasa ya Mji wa Bariadi inayojengwa sasa pale itakapokamilika, wahakikishe wanalipa kodi na mapato hayo yatumike katika shughuli za maendeleo ya wananchi na kuitunza stendi hiyo.
Mhe. Makamu wa Rais ametoa agizo hilo wakati wa uwekaji wa jiwe la Msingi la stendi hiyo Mjini Bariadi.

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!