
Mfuko wa
Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umekabidhi hundi ya shilingi bilioni 1.5 kwa
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu, fedha ambazo ni mkopo kwa ajili ya upanuzi wa kiwanda cha
Chaki Wilayani humo na kuongeza uzalishaji.
Hundi hiyo
imekabidhiwa kwa...