Thursday, January 9, 2020

MWEKEZAJI KUTOKA INDIA AONESHA NIA KUWEKEZA KILIMO CHA MPUNGA, KIWANDA CHA KUCHAKATA MPUNGA SIMIYU

Mwekezaji kutoka nchini India, Bw.Vivek Agarwala ameonesha nia ya kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga kupitia umwagiliaji na kujenga kiwanda cha kuchakata mpunga wilayani Busega mkoani Simiyu, ambapo anatarajia kuwekeza katika eneo lenye ukubwa wa ekari zipatazo 2000. Akizungumza na viongozi...
Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!