Monday, August 3, 2020

ALIYEKUWA RAS SIMIYU ATOA WITO KWA WANANCHI KUTEMBELEA MAONESHO YA NANENANE WAJIFUNZE

Aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini (aliyevaa suti ya bluu nyeusi) ametembelea mabanda leo Agosti 03, 2020  katika Viwanja vya Maonesho ya Nanenane Nyakabindi Bariadi, yanayofanyika Kitaifa mwaka 2020 katika Kanda ya Ziwa Mashariki inayoundwa na mikoa ya Simiyu, Mara na Shinyanga.

 Sagini ametoa wito kwa wananchi kutembelea maonesho hayo ambayo amekiri kuwa yamefana kwa kiasi kikubwa ili waweze kujifunza masuala mbalimbali yahusuyo uzalishaji kwenye tija katika kilimo, mifugo na uvuvi. 

Aliyekuwa  Katibu Tawala wa Mkoa, Bw. Jumanne Sagini akikabidhiwa  boksi la chaki na mmoja wa wafanyakazi wa Kiwanda cha kutengeneza chaki cha wilayani Maswa wakati alipotembelea mabanda ya maonesho  Agosti 03, 2020 katika Maonesho ya Nanenane Kitifa yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Masharikinviwanja vya Nyakabindi Bariadi Mkoani Simiyu.

HABARI KATIKA PICHA, ALIYEKUWA KATIBU TAWALA WA MKOA WA SIMIYU AKITEMBELEA MABANDA  YA MKOA WA SIMIYU AGOSTI 03/08/2020



















 


0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!