Wednesday, March 30, 2016

UONGOZI MKOANI SIMIYU WABAINI WATUMISHI HEWA 33

Kufuatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli la kuhakiki watumishi wa Umma nchini, Uongozi wa Mkoa wa Simiyu umebaini watumishi hewa 33 na watoro 29 kati ya watumishi 13,174 wa Mamlaka za Serikali za Mitaa za Serikali kuu. Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony...

Monday, March 28, 2016

Sunday, March 27, 2016

RC SIMIYU AAGIZA MENEJA MAMLAKA YA MAJI ACHUNGUZWE

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony J. Mtaka ameviagiza Vyombo vya Ulinzi na Usalama, kumkamata na kumchunguza Meneja wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Wilayani Maswa (MAUWASA) Mhandisi. Lema Jeremia. Mtaka ametoa agizo hilo kufuatia taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe. Rosemary...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!