
Waziri
wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi (Mb) amewataka
wakazi wa Lamadi wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, kurasimisha makazi yao katika
kipindi hiki ambacho zoezi la urasimishaji makazi kwa gharama nafuu linaloendelea
wilayani humo.
Waziri
Lukuvi ametoa wito huo leo wakati...