Thursday, August 31, 2017

RC MTAKA: ZOEZI LA KUONDOA MIFUGO KWENYE MAENEO YA HIFADHI LIFANYIKE KWA WELEDI, HAKI NA UADILIFU

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka ameitaka Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Meatu mkoani humo, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo,Dkt. Joseph Chilongani kutekeleza kwa weledi, uadilifu na haki zoezi la kuondoa mifugo kwenye maeneo ya hifadhi litakaloanza September 04, 2017. Mtaka ametoa...

Wednesday, August 30, 2017

WITO UMETOLEWA KWA WANANCHI KUCHANGIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA

Wananchi  wa Kata ya Nkololo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi wametakiwa kutambua wajibu wao katika kuchangia ujenzi wa Vyumba vya madarasa ili kupunguza tatizo la upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule za msingi na sekondari. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Anthony...

Thursday, August 24, 2017

NAIBU WAZIRI AAGIZA HALMASHAURI KUTAMBUA MAENEO YASIYOENDELEZWA NA YASIYOMIKILIWA KIHALALI

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angelina Mabula(Mb), ameziagiza Halmashauri nchini, kuyatambua na kuyatolea taarifa  maeneo yanayohodhiwa na watu bila kuendelezwa na yale ambayo hayakupatikana kihalali ili Wizara iweze kuchukua hatua stahiki. Naibu Waziri huyo ameyasema...

WAKURUGENZI WATAKIWA KUSIMAMIA IDARA YA ARDHI KUHAKIKISHA INAPIMA MAENEO NA KUTOA HATI

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Angelina Mabula  amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri Mkoani Simiyu  kuwasimamia watumishi wa Idara ya Ardhi na kuhakikisha wanapima maeneo  na kutoa hati miliki kwa wananchi. Mhe.Mabula ameyasema hayo wakati wa ziara yake...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!