Mkuu
wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka ameitaka Kamati ya Ulinzi na Usalama ya
Wilaya ya Meatu mkoani humo, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo,Dkt. Joseph
Chilongani kutekeleza kwa weledi, uadilifu na haki zoezi la kuondoa mifugo kwenye
maeneo ya hifadhi litakaloanza September 04, 2017.
Mtaka
ametoa...
Thursday, August 31, 2017
Thursday, August 31, 2017
RC MTAKA: ZOEZI LA KUONDOA MIFUGO KWENYE MAENEO YA HIFADHI LIFANYIKE KWA WELEDI, HAKI NA UADILIFU
Wednesday, August 30, 2017
Wednesday, August 30, 2017
WITO UMETOLEWA KWA WANANCHI KUCHANGIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA
Wananchi
wa Kata ya Nkololo katika Halmashauri ya
Wilaya ya Bariadi wametakiwa kutambua wajibu wao katika kuchangia ujenzi wa Vyumba
vya madarasa ili kupunguza tatizo la upungufu wa vyumba vya madarasa katika
shule za msingi na sekondari.
Wito
huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Anthony...
Thursday, August 24, 2017
Thursday, August 24, 2017
NAIBU WAZIRI AAGIZA HALMASHAURI KUTAMBUA MAENEO YASIYOENDELEZWA NA YASIYOMIKILIWA KIHALALI
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angelina Mabula(Mb), ameziagiza Halmashauri nchini, kuyatambua
na kuyatolea taarifa maeneo yanayohodhiwa
na watu bila kuendelezwa na yale ambayo hayakupatikana kihalali ili Wizara
iweze kuchukua hatua stahiki.
Naibu Waziri huyo
ameyasema...
Thursday, August 24, 2017
WAKURUGENZI WATAKIWA KUSIMAMIA IDARA YA ARDHI KUHAKIKISHA INAPIMA MAENEO NA KUTOA HATI
Naibu Waziri wa Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Angelina Mabula amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri Mkoani
Simiyu kuwasimamia watumishi wa Idara ya
Ardhi na kuhakikisha wanapima maeneo na
kutoa hati miliki kwa wananchi.
Mhe.Mabula
ameyasema hayo wakati wa ziara yake...