Sunday, October 22, 2017

MABARAZA YA MADIWANI SIMIYU YARIDHIA HALMASHAURI ZIKOPE BILIONI 17.1 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO

Mabaraza ya Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Busega na Meatu Mkoani Simiyu yameridhia Halmashauri hizo kukopa shilingi bilioni 17.1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), kwa ajili ya kutekeleza Miradi mikubwa miwili  ya Maendeleo. Maridhiano hayo yamefikiwa katika Vikao...

Saturday, October 14, 2017

TIZEBA:GINNER ATAKAYEGOMA KUPELEKA PAMBA MBEGU KWENYE KIWANDA CHA QUTON HATANUNUA PAMBA MWAKANI

Waziri wa Kilimo Mhe.Dkt. Charles Tizeba amewataka wamiliki wa viwanda vya kuchambua pamba(ginners) kupeleka pamba mbegu kwenye kiwanda cha kuchakata(kutoa manyoya) mbegu za pamba cha Quton na akasema watakaogoma kupeleka hawatanunua pamba msimu ujao. Waziri Tizeba ameyasema hayo jana alipotembelea...

Sunday, October 8, 2017

RC MTAKA: SIMIYU SASA TUNAJADILI MAENDELEO YA WANANCHI SIYO MAUAJI YA VIKONGWE NA ALBINO

Mkoa wa Simiyu kwa sasa haujadili tena masuala ya mauaji ya vikongwe na watu wenye ulemavu wa ngozi(albino) badala yake unajidili maendeleo ya wananchi wa mkoa huo. Hayo yamesemwa  jana na Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Anthony Mtaka wakati wa ufungaji wa Makambi ya Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato(SDA) yaliyoyofanyika...

Wednesday, October 4, 2017

WAFUGAJI NYUKI WATAKIWA KUANZISHA VIWANDA VIDOGO KUONGEZA THAMANI YA MAZAO YA NYUKI

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Eng. Ramo Makani  amesema Wafugaji Nyuki wanayo fursa kubwa ya kujikita katika uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya kuchakata, kufungasha na kuongeza thamani mazao ya nyuki na kutengeneza vipodozi kutokana na mazao ya nyuki. Mhandisi Makani  ameyasema...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!