Katibu
Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini amesaini Mkataba wa Ujenzi wa
Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na Msimamizi Mkuu wa SUMA JKT Kanda ya
Ziwa, Kapteni Fabian Buberwa.
Mkataba
huo umesainiwa Aprili 30, 2019 mbele ya Wataalam wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na
SUMA JKT katika Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu, Bw.Jumanne Sagini ambaye
aliwataka SUMA JKT kujenga jengo hilo kwa viwango na kuhakikisha linakamilika
kwa wakati.
“SUMA
JKT mmepewa heshima kubwa na Serikai yetu na viongozi wetu pia tunaomba
muendelee kufanya vizuri ili kulinda heshima yenu; tunaomba mfanye kazi usiku
na mchana jengo hili likamilike mapema na ka viwango” alisema Sagini.
Kwa
upande wake Msimamizi Mkuu wa SUMA JKT Kanda ya Ziwa, Kapteni Fabian Buberwa
amemhakikishia Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw.Jumanne Sagini kuwa wakipata
fedha watahakikisha wanakamilisha jengo hilo kwa wakati na kwa viwango vya juu,
ili kuendellea kulinda heshima waliyopewa na Serikali
Naye Mhandisi wa Ujenzi wa Mkoa wa Simiyu, mashaka
Luhamaba amesema Jengo hilo litakalojengwa eneo la Nyaumata Mjini Bariadi,
litagharimu zaidi ya shilingi bilioni 5, 718, 387,926.20
Jengo
hili linatarajiwa kuanza kujengwa mwezi Mei, 2019 na kukamilika baada ya miezi
18.
MWISHO.
Katibu Tawala Mkoa wa
Simiyu, Bw. Jumanne Sagini (kushoto) na Msimamizi
wa SUMA JKT Kanda ya Ziwa Kapteni. Fabian Buberwa wakisaini Mkataba wa Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu
wa Mkoa wa Simiyu,inayotajarajiwa kujengwa
katika eneo la Nyaumata Mjini Bariadi kuanzia mwezi Mei, 2019.
Mkuu wa Kitengo cha
Ugavi na Ununuzi, Bi. Vivian Watugulu akiwaonesha jambo Katibu Tawala Mkoa wa
Simiyu, Bw. Jumanne Sagini (kushoto) na
Msimamizi wa SUMA JKT Kanda ya Ziwa Kapteni. Fabian Buberwa katika Mkataba wa
Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,inayotajarajiwa kujengwa katika eneo la Nyaumata Mjini
Bariadi kuanzia mwezi Mei, 2019.
Msimamizi wa SUMA JKT
Kanda ya Ziwa Kapteni. Fabian Buberwa
akizungumza na Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini
(kushoto) kabla ya viongozi hao kusaini Mkataba wa Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa
Mkoa wa Simiyu,inayotajarajiwa kujengwa
katika eneo la Nyaumata Mjini Bariadi kuanzia mwezi Mei, 2019(kulia) Mhandisi
wa Ujenzi wa Mkoa wa Simiyu, Mashaka Luhamba.
Katibu Tawala Mkoa wa
Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akizungumza na Wataalam kutoka SUMA JKT na wataalam
kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla ya kusaini Mkataba wa Ujenzi wa Ofisi ya
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na Msimamizi wa SUMA JKT Kanda ya Ziwa Kapteni. Fabian
Buberwa ,inayotajarajiwa kujengwa katika eneo la Nyaumata Mjini
Bariadi kuanzia mwezi Mei, 2019.
Katibu Tawala Mkoa wa
Simiyu, Bw. Jumanne Sagini na Msimamizi wa SUMA JKT Kanda ya Ziwa Kapteni.
Fabian Buberwa ) kabla ya viongozi hao kusaini
Mkataba wa Ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,inayotajarajiwa kujengwa katika eneo la Nyaumata Mjini
Bariadi kuanzia mwezi Mei, 2019.
Katibu Tawala Mkoa wa
Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akizungumza na Wataalam kutoka SUMA JKT na wataalam
kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kabla ya kusaini Mkataba wa Ujenzi wa Ofisi ya
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na Msimamizi wa SUMA JKT Kanda ya Ziwa Kapteni. Fabian
Buberwa ,inayotajarajiwa kujengwa katika eneo la Nyaumata Mjini
Bariadi kuanzia mwezi Mei, 2019.
Msimamizi wa SUMA JKT
Kanda ya Ziwa Kapteni. Fabian Buberwa(katikati) akioneshwa ramani ya Jengo la
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na wataalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa
Simiyu na Wakala wa Ujenzi (TBA) Simiyu, wakati aliopofika
0 comments:
Post a Comment