Wednesday, September 28, 2016

NAIBU WAZIRI JAFO AFANYA ZIARA MKOANI SIMIYU

Na Stella Kalinga Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI  Mhe. Suleiman Jafo (Mb) amefanya ziara ya siku mbili Mkoani Simiyu Akizungumza na  Watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Simiyu, Halmashauri ya Mji Bariadi na Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi  katika Ukumbi wa Alliance...

Tuesday, September 27, 2016

HATIMAYE MKOA WA SIMIYU WAPATA HOSPITALI TEULE YA RUFAA YA MKOA

Na Stella Kalinga Hatimaye Hospitali ya Somanda iliyokuwa inamilikiwa na Halmashauri ya Mji wa Bariadi yakabidhiwa rasmi  kwa Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu  na kuwa Hospitali Teule ya Rufaa ya Mkoa huo. Makabidhiano hayo yamefanyika  kati ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi...

Thursday, September 22, 2016

SIMIYU YARIDHIA CHAKULA KITOLEWE KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI ZA KUTWA

Na Stella Kalinga Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Simiyu (RCC) kimeridhia wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari za Kutwa katika mkoa huo kupata chakula cha mchana shuleni ili kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujifunza. Uamuzi huo umefikiwa kufuatia hoja iliyowasilishwa na Mbunge wa...

Wednesday, September 21, 2016

MKOA WA SIMIYU WATANGAZA KUANZA KUTUMIA CHAKI UNAZOZALISHA WENYEWE

Na Stella Kalinga Mkoa wa Simiyu unatarajia kuanza kutumia chaki zilizozalishwa na vijana wa Wilaya ya Maswa mkoani humo kuanzia tarehe Mosi Oktoba, 2016. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo katika...

Tuesday, September 20, 2016

RC AWATAKA WATENDAJI WA HALMASHAURI NA MADIWANI KUTOINGIZA MASLAHI BINAFSI KATIKA MIRADI YA BARABARA

Na Stella Kalinga Madiwani na watendaji wa Halmashauri wameaswa kuacha kuingiza maslahi binafsi katika ujenzi wa miradi ya barabara ili kufanya miradi kusimamiwa na kujengwa katika kiwango kinachostahili. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony John Mtaka katika kikao cha Bodi ya...

Saturday, September 17, 2016

WAZIRI MHAGAMA AFANYA ZIARA SIMIYU KUONA HALI YA MAANDALIZI YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2016

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi , Vijana , Ajira na Wenye Ulemavu , Mhe. Jenista Mhagama amefanya kikao cha ndani na Viongozi na Watendaji wa Mkoa wa Simiyu leo katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo Mjini Bariadi, ili kupata taarifa ya maandalizi ya Maadhimisho ya Kilele...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!