Friday, October 14, 2016

RAIS SHEIN : SERIKALI IMEJIPANGA KUKUSANYA MAPATO NA KUPUNGUZA MISAADA YA WAHISANI

Na Stella Kalinga Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amesema Serikali imejipanga  kukusanya  na kutumia Mapato na rasiliamali zake  kwa maendeleo ya wananchi ili kupunguza na hatimaye kuondokana na kupewa misaada ya wahisani. Rais Shein...

Thursday, October 13, 2016

RAIS WA ZANZIBAR MHE. DKT. ALI MOHAMED SHEIN AWASILI SIMIYU

Na Stella Kalinga Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amewasili Mjini Bariadi jioni hii kwa ajili ya Maadhimisho ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru, Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa na Wiki ya Vijana yatakayofanyika kitaifa kesho tarehe 14 Oktoba,...

VIJANA WAASWA KUACHA KULALAMIKA

Na Stella Kalinga Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amewataka vijana kuacha kuilalamikia Serikali na badala yake  wachukue hatua za utekelezaji. Waziri Mhagama aliyasema hayo jana katika ufunguzi wa Kongamano la Vijana...

Wednesday, October 12, 2016

WAZIRI MHAGAMA AZINDUA KIWANDA CHA KUSINDIKA MAZIWA MEATU SIMIYU

Na Stella Kalinga Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amefungua kiwanda cha kusindika maziwa kinachoendeshwa na  kikundi cha Vijana wa Meatu kilichopo wilayani humo Mkoa wa Simiyu. Akizungumza na Vijana hao wanaosindika...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!