Thursday, November 24, 2016

WANAUME WAHAMASISHWA KUFANYA TOHARA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA VVU

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka(wa tatu kushoto) akizungumza na wadau wa Mapambano dhidi ya Ukimwi  katika Uzinduzi wa Mpango mkakati wa Mkoa huo uliofanyika  katika Ukumbi wa Kanisa Katoliki  la Mtakatifu Yohana Mjini Bariadi. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi...

Thursday, November 17, 2016

WAKAZI WA MASWA KUPATA HATI MILIKI ZA VIWANJA NDANI YA SIKU 90

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angelina Mabula akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Maswa katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja Modeco  wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu Baadhi ya wanachi Wilaya ya Maswa wakimsikiliza : Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba...

Tuesday, November 15, 2016

RC SIMIYU: WAMILIKI BODABODA MADEREVA WENU WAPEWE MAFUNZO

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu , Mhe. Anthony Mtaka akizungumza na wakazi wa Bariadi Mkoani humo wakati wa uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu , Mhe. Anthony Mtaka na viongoi wengine wa Mkoa huo wakipokea maandamano ya madereva na watumiaji wengine wa barabara wakati...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!