
Mkoa wa Simiyu umeweka historia ya Mchezo wa Mpira wa Miguu baina ya
wachungaji na waganga wa jadi ikiwa ni makubaliano ya kutoa ujumbe wa kupinga
mauaji ya watu wenye Ualbino na vikongwe kwa kupiga maarufuku Ramli Chonganishi
ambazo zimekuwa zikichangia kwa kiasi kikubwa mauaji hayo.
Mchezo huo...