Wednesday, April 14, 2021

WANAFUNZI SIMIYU WAOMBA KAMBI ZA KITAALUMA ZIWE ENDELEVU

Wanafunzi wa shule ya sekondari Bariadi mkoani Simiyu wameomba viongozi wa mkoa na wadau wote wa elimu kuwa kambi za kitaaluma ziwe endelevu kwa kuwa zina matokeo chanya kwa katika ufaulu wa wanafunzi na ili mkoa uendelee kufanya vizuri katika mitihani yote ya Kitaifa.  Ombi hilo limetolewa tarehe...

WASTAAFU WAWAASA WATUMISHI KUFANYA KAZI KWA KUJITUMA

        Watumishi waliostaafu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wamewaasa watumishi wa Umma kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na kujituma ili waweze kutekeleza majukumu yao vizuri na kumaliza salama safari yao ya utumishi wa Umma.  Rai hiyo imetolewa kwa nyakati tofauti katika hafla...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!