Saturday, July 1, 2017

KARIBU MWENGE WA UHURU MKOANI SIMIYU

Mwenge wa Uhuru unatarajia kuanza Mbio zake Mkoani Simiyu kuanzia Siku ya Jumanne tarehe 04/07/2017, ambapo utapokelewa Wilayani Meatu ukitokea Mkoani Singida.

Tarehe 05/07/2017 utakuwa Itilima, 06/07/2017  Halmashauri ya Mji Bariadi, 07/07/2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, 08/07/2017 Busega, 09/07/2017 Maswa na tarehe 10/07/2017  asubuhi utakabidhiwa Mkoani Shinyanga ukitokea Wilayani Maswa.

Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoani Simiyu utaweka Mawe ya Msingi na kufungua Miradi Mbalimbali ya Maendeleo.


0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!