Mamlaka ya Mawasiliano
hapa nchini (TCRA) imetoa elimu kuhusu huduma ya kuhama kutoka Mtandao mmoja wa
Simu kwenda Mtandao mwingine bila kubadili Namba ya Simu(Mobile Number
Portability- MNP) mkoani Simiyu.
Akizungumza na
waandishi wa Habari Mjini Bariadi Mhandisi Mwandamizi wa Mawasiliano Mwesigwa
Felician...
Tuesday, September 26, 2017
Tuesday, September 26, 2017
TCRA YATOA ELIMU KUHUSU HUDUMA YA KUHAMA MTANDAO MMOJA WA SIMU KWENDA MWINGINE BILA KUBADILI NAMBA
Wednesday, September 20, 2017
Wednesday, September 20, 2017
WAKURUGENZI WA MIFUKO, MASHIRIKA WATEMBELEA MAENEO YA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA BIDHAA ZA HOSPITALI, MAJI TIBA SIMIYU
Baadhi ya Wakurugenzi wa Mifuko na Mashirika ya Serikali hapa nchini
wametembelea na kukagua maeneo yanayokusudiwa kutumika katika ujenzi
wa kiwanda kikubwa cha kutengeneza bidhaa zinazotumika
hospitalini zitokanazo na zao la pamba na kiwanda cha maji tiba(drip)
mkoani...
Thursday, September 14, 2017
Thursday, September 14, 2017
BAADA YA KIWANDA CHA CHAKI SIMIYU YAJIPANGA TENA UPANUZI KIWANDA CHA MAZIWA, UJENZI WA KIWANDA CHA NYANYA NA PILIPILI
Baada
ya mikakati ya upanuzi wa kiwanda cha kutengeneza chaki Wilayani Maswa, Mkoa wa
Simiyu umejipanga tena kufanya upanuzi wa Kiwanda cha kusindika Maziwa
kilichopo Wilayani Meatu na Ujenzi wa kiwanda cha kusindika Nyanya na Pilipili
wilayani Busega.
Hatua
hiyo imefikiwa kufuatia zoezi la upembuzi...