Wednesday, November 29, 2017

BILIONI 375.4 ZATOLEWA KUTEKELEZA MRADI WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI NA KUTATUA TATIZO LA MAJI SIMIYU

Serikali ya Tanzania  kwa kushirikiana na Serikali ya  Ujerumani, Mfuko wa Mabadiliko tabia nchi (CGF) na wananchi, imetenga kiasi cha shilingi bilioni 375.4  kutekeleza Mradi wa kukabiliana na changamoto  zinazotokana na mabadiliko ya tabia nchi mkoani SIMIYU kwa...

Tuesday, November 28, 2017

RC MTAKA AWAKABIDHI PIKIPIKI NA GARI MAAFISA UGANI ITILIMA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka amekabidhi pikipiki za maafisa Ugani na Gari la Idara ya Kilimo  wilayani Itilima na kusisitiza kuwa vyombo hivyo vitumike kwa ajili ya kuwafikia wananchi ili kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao hususani zao la pamba. Vyombo hivyo ambavyo awali vilikuwa...

MADC, WAKURUGENZI MKOANI SIMIYU WAAGIZWA KUUNDA TIMU ILI KUJIRIDHISHA JUU YA WANAFUNZI WANAODAIWA KUWA MAMLUKI

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Anthony Mtaka amewaagiza Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri Mkoani humo kuunda timu zitakazopitia na kujiridhisha juu ya  majina ya wanafunzi 633 waliotajwa kuwa Mamluki na kuondolewa shuleni kwa kukosa sifa za kusoma shule za sekondari za Serikali kutokana...

Thursday, November 2, 2017

WAKULIMA MKOANI SIMIYU WATAKIWA KULIMA MAZAO YA BIASHARA

Mkuu wa mkoa wa Simiyu,Anthony Mtaka amewasisitiza wakulima Mkoani humo kulima mazao ya biashara yenye  tija hasa zao la pamba kwa kuzingatia Mkoa huo upo katika mchakato wa utekelezaji wa ujenzi wa kiwanda cha bidhaa za afya zitokanazo na  zao la pamba. Msisitizo huo ameutoa jana wilayani...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!