
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka ametoa
wito kwa Wakuu wa Idara za Elimu Msingi na Sekondari Halmashauri za Wilaya
kuisadia jamii kuondokana na mila zilizopitwa na wakati.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu ametoa wito huo
katika tathimini ya elimu iliyofanyika katika Shule ya Msingi Lukungu Wilayani
Busega.
Ni...