Saturday, February 27, 2021

KILA MTUMISHI ITILIMA ASHIRIKI KIKAMILIFU UKUSANYAJI WA MAPATO: RAS SIMIYU

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga amewataka watumishi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu kuwa sehemu ya Halmashauri hiyo katika ukusanyaji wa mapato ili Halmashauri hiyo iweze kupanda katika ukusanyaji mapato na  kupata uwezo wa kujiendesha.   Mmbaga ameyasema...

RAS SIMIYU AWAASA VIONGOZI WA DINI, WAGANGA WA TIBA ASILI KUSHIRIKI KUPUNGUZA VIFO VYA WAKINAMAMA NA WATOTO

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga ametoa wito kwa viongozi wa dini na waganga wa tiba asili mkoani Simiyu kushirikiana na Serikali katika juhudi mbalimbali za kupunguza vifo vya wakina mama wajawazito  na watoto vitokanavyo na uzazi.  Mmbaga ameyasema hayo katika kikao...

Wednesday, February 17, 2021

 WIZARA YA ELIMU YAAHIDI KUTOA FEDHA UJENZI WA CHUO VETA SIMIYU Na Stella Kalinga, Simiyu RS Naibu waziri wa Elimu, sayansi na teknolojia, Mhe.Omary Kipanga amesema Wizara hiyo itahakikisha inatafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa Chuo cha VETA cha mkoa wa Simiyu ili kutimiza azma ya serikali...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!