Saturday, May 8, 2021

TMDA YATOA MSAADA TAULO ZA KIKE ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 6 SIMIYU

Mamlaka ya Dawa na Vifaa tiba (TMDA) imetoa msaada wa taulo za kike zenye thamani ya shilingi milioni 6 lengo likiwa kuunga mkono maandalizi ya kambi za kitaaluma kwa wanafunzi wa kidato cha nne zinazotarajiwa kuanza mwenzi Agosti, 2021 mkoani Simiyu.  Akikabidhi taulo hizo meneja wa TMDA kanda...

WAZAZI WENYE WATOTO WALIO MADARASA YA MITIHANI WAPUNGUZIENI KAZI: RC MTAKA

 Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka ametoa rai kwa wazazi na walezi wenye watoto walio katika madarasa ya mitihani ya Taifa kuwapunguzia kazi ili wanafunzi hao waweze kupata muda wa kujiandaa na mitihani hiyo na hatimaye waweze kufanya vizuri katika mitihani yao.  Mtaka ameyasema...

USIMAMIZI WA TMDA, ELIMU KWA UMMA ZATAJWA KUSAIDIA KUPUNGUZA BIDHAA BANDIA SOKONI

 Usimamizi shirikishi, elimu kwa umma zimetajwa kuwa ni miongozi mwa sababu zilizochangia kupunguza uwepo wa dawa bandia katika mikoa ya kanda ya ziwa, jambo ambalo limechangia soko la bidhaa hizo (dawa) kuwa soko salama.  Hayo yamebainishwa na Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba,...

RC MTAKA ASHAURI PPRA KUFANYA TATHMINI YA MIRADI ILIYOTEKELEZWA KWA ‘FORCE ACCOUNT’

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka ametoa rai kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma(PPRA) kufanya tathmini ya miradi iliyotekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano kupitia mfumo wa ‘Force Account’ (Mfumo usiotumia wakandarasi/ wakandarasi katika ujenzi) na baadaye ije na usahauri kwa serikali...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!