
Na Stella Kalinga
Mkoa wa Simiyu leo umezindua mradi wa Kupima na Kutibu (Test
and Treat) Wale watakaobainika kuwa na Virusi vya Ukimwi bila kujali wingi wa
CD4.
Mradi huo ambao unaendeshwa na Shirika lisilo la Kiserikali
la CUAMM umezinduliwa leo na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi ambaye amemwakilisha
Mkuu...