Thursday, March 29, 2018

SIMIYU, TANTRADE KUSHIRIKIANA KUANDAA MAONESHO YA WAKULIMA NANENANE KITAIFA MWAKA 2018

Mkoa wa Simiyu na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TanTrade) wamesema watashirikiana kwa pamoja kuandaa Maonesho ya Kilimo NaneNane mwaka 2018 ambayo Kitaifa  yatafanyika Mkoa wa Simiyu. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka...

Tuesday, March 20, 2018

WAZIRI KABUDI AWATAKA WASAJILI WA VYETI VYA KUZALIWA MIKOA YA SIMIYU, MARA KUZINGATIA UMAKINI NA UZALENDO

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Prof. Palamagamba Kabudi amewataka wasajili wa vyeti vya kuzaliwa kupitia mpango wa usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano  kwenye mikoa ya Simiyu na Mara, kufanya kazi hiyo kwa umakini na uzalendo mkubwa katika kuhakikisha wanawasajili...

Thursday, March 8, 2018

WANAWAKE WATAKIWA KUWALINDA WATOTO WA KIKE DHIDI YA MIMBA ZA UTOTONI

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe.Festo Kiswaga ametoa wito kwa wanawake  wote Mkoani Simiyu kuwa mstari wa mbele katika kuwalinda watoto wa kike na kuhakikisha hawakatishwi masomo kwa sababu ya kupewa mimba wakiwa (katika umri mdogo) shuleni na badala yake wamalize masomo ili watimize ndoto zao....

Wednesday, March 7, 2018

MAAFISA MICHEZO WATAKIWA KUWASAIDIA VIJANA KUFIKIRI MICHEZO KATIKA MTAZAMO WA AJIRA NA BIASHARA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka amewataka Maafisa Michezo na Walimu wa Michezo mkoani humo kuwasaidia Vijana wa Kitanzania kutoka kwenye nadharia ya kufikiri kuwa michezo ni afya, urafiki na  burudani tu ili waanze kufikiri michezo katika mtazamo wa biashara na ajira. Mtaka ameyasema...

Friday, March 2, 2018

HATUJAWAKATAA WADAU WA AFYA TUNATAMBUA MCHANGO WAO, TUNAOMBA WAZINGATIE VIPAUMBELE VYA KITAIFA-RC MTAKA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka amesema Serikali Mkoani humo haijawakataa wadau wa Afya kutoka katika Mashirika mbalimbali ya Kitaifa na Kimataifa wanaofanya kazi mbalimbali  katika  kuunga mkono juhudi za Serikali kwenye Sekta ya Afya , bali inatambua mchango wao na inawaomba...

Thursday, March 1, 2018

RC MTAKA AWATAKA WANANCHI, VIONGOZI SIMIYU KUTOA USHIRIKIANO UTAFITI WA MAPATO NA MATUMIZI YA KAYA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Anthony Mtaka ametoa wito kwa wananchi na Viongozi Mkoani humo kutoa ushirikiano kwa wadadisi na wataalam wa Takwimu katika utafiti wa mapato na matumizi ya kaya binafsi unaoendelea hapa nchini ili kuwezesha upatikanaji wa  takwimu halisi na sahihi Mkoani humo. Mtaka...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!