
Mkoa wa Simiyu umejipanga kurasimisha kazi za
sanaa, utamaduni na baadhi ya michezo ili kutengeneza ajira kwa wananchi
ambazo zitasaidia kukuza uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka
wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini...