Saturday, June 9, 2018

VIONGOZI MKOANI SIMIYU WAASWA KUZUNGUMZA LUGHA MOJA KUHUSU HAKI ZA WANANCHI

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana UVCCM Taifa Kheri James  amewaasa  viongozi wa dini ,chama na Serikali kutotofautiana lugha kuhusu haki za wananchi katika kukomesha dhuluma na pia wawakemee wanaokwamisha juhudi za Serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi. James amesema hayo katika futari iliyoandaliwa...

Friday, June 8, 2018

KONGWA WAFANYA ZIARA MKOANI SIMIYU KUTEMBELEA MIRADI YA VIJANA ILI KUJIFUNZA

Viongozi kutoka Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Mhe. Deo Ndejembi pamoja na baadhi ya viongozi wa vikundi vya vijana wilayani humo wamefanya ziara Mkoani Simiyu ili kujifunza namna vikundi vya vijana vinavyotekeleza miradi yake. Timu hiyo imefanya ziara ya siku...

Thursday, June 7, 2018

MKUU WA MAJESHI AHAMASISHA VIJANA KUJIUNGA JKT KUPATA STADI ZA KAZI ZIWASAIDIE KUJIAJIRI

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  Jenerali Venance Mabeyo amewahamasisha vijana kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa ili waweze kupata stadi za ufundi na hatimaye wajiajiri badala ya kutegemea kuajiriwa na Serikali. Jenerali Mabeyo ametoa ushauri huo wakati alipokutana na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na...

Monday, June 4, 2018

WAGANGA WAFAWIDHI WATAKAOSHINDWA KUSIMAMIA VITUO VYAO KUVULIWA MADARAKA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu Jumanne Sagini amewaagiza Waganga Wakuu wa Wilaya kuwaondoa katika nafasi za usimamizi wa zahanati na vituo vya afya ,waganga wafawidhi watakaoshindwa kusimamia vituo vyao kufika vigezo vilivyowekwa katika utoaji huduma za afya kwa wananchi kupitia mpango wa malipo kwa...

SIMIYU YAKABIDHIWA ZAHANATI NA SHIRIKA LA LIFE MINISTRY

Shirika la Kikristo la Life Ministry limekabidhi Zahanati kwa Uongozi wa Mkoa wa Simiyu ambayo imejengwa katika Kijiji cha Itubukilo wilayani Bariadi. Akisoma taarifa ya makabidhiano ya zahanati hiyo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, Mkurugenzi wa Life Ministry Tanzania, Bw....

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!