Thursday, September 24, 2020

USIMAMIZI WA FEDHA UIMARISHWE ILI ZIFANYE KAZI ILIYOKUSUDIWA: RAS SIMIYU

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bibi. Miriam Mmbaga ametoa rai kwa viongozi na watumishi katika wilaya ya Meatu kuimarisha usimamizi wa ukusanyaji wa mapato ya ndani na matumizi ya fedha za miradi mbalimbali na kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu za fedha zinazingatiwa ili fedha hizo zitumike kwa...

ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 2.3 ZATOLEWA KWA WALENGWA WA TASAF 28984 SIMIYU

Serikali imetoa jumla ya shilingi 2,327,259,225 kwa walengwa  wa TASAF III awamu ya pili wapatao  28984 kupitia mpango wa kunusuru kaya maskini katika kipindi cha mwezi Julai hadi Oktoba mwaka 2020 katika vijiji 376 mkoani Simiyu.  Hayo yamebainishwa na Mratibu wa TASAF mkoa wa Simiyu,...

Sunday, September 13, 2020

WADAU WA KILIMO SIMIYU WAJADILI MWONGOZO WA KILIMO CHA MKONGE

 Bodi ya Mkonge Tanzania imekutana na uongozi wa mkoa wa Simiyu na baadhi ya watendaji na wataalam wa kilimo kwa lengo la kujadili mwongozo wa kilimo cha mkonge mkoani hapa lengo likiwa ni kuhakikisha mkulima anazalisha mkonge bora na wenye thamani katika soko. Akikabidhi muongozo huo kwa katibu...

RUWASA SIMIYU YAAHIDI KUONGEZA HALI YA UPATIKANAJI WA MAJI

Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama Mkoani Simiyu unatarajiwa kuongezeka kutoka asilimia 51 ya mwaka 2019 hadi 57.4 ifikapo 0ktoba 2020 kupitia mradi wa lipa kulingana na matokeo (P4R ) hali itakayosaidia wananchi kuepukana na adha ya upatikanaji wa huduma hiyo kwa uhakika na urahisi.  Hayo...

Friday, September 11, 2020

KITUO CHA AFYA LUKUNGU CHATAKIWA KUIMARISHA MFUMO WA UKUSANYAJI, USIMAMIZI WA MAPATO

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Khamis Kulemba ameutaka uongozi wa Kituo cha Afya Lukungu wilayani Busega kuimarisha ukusanyaji na usimamizi wa mapato (kudhibiti upotevu wa mapato) ili kuongeza mapato yatakayosaidia kununua dawa na kuboresha miundombinu kwa lengo la kuongeza ufanisi katika...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!