Thursday, September 24, 2020

USIMAMIZI WA FEDHA UIMARISHWE ILI ZIFANYE KAZI ILIYOKUSUDIWA: RAS SIMIYU

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bibi. Miriam Mmbaga ametoa rai kwa viongozi na watumishi katika wilaya ya Meatu kuimarisha usimamizi wa ukusanyaji wa mapato ya ndani na matumizi ya fedha za miradi mbalimbali na kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu za fedha zinazingatiwa ili fedha hizo zitumike kwa kazi zilizokusudiwa.

Mmbaga ametoa rai hiyo katika kikao alichofanya na viongozi na watumishi hao kilichofanyika Septemba 23, 2020 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu mjini Mwanhuzi.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga akizungumza na baadhi ya viongozi na watumishi wa wilaya ya Meatu katika kikao kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
Baadhi ya viongozi na watumishi wa wilaya ya Meatu wakimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (hayupo pichani) katika kikao kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
Mkuu wa Wilaya ya Meatu, Dkt. Joseph Chilongani  akizungumza katika kikao cha Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (wa pili kulia) na baadhi ya viongozi na watumishi wa wilaya ya Meatu , kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
Mkuu wa Shule ya Msingi Muungano, Mwl. Joseph Seni akichangia hoja katika kikao cha Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga na baadhi ya viongozi na watumishi wa wilaya ya Meatu , kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
Baadhi ya viongozi na watumishi wa wilaya ya Meatu wakimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (hayupo pichani) katika kikao kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu, Bw. Fabian Manoza akifafanua jambo katika kikao cha Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (wa pili kulia) na baadhi ya viongozi na watumishi wa wilaya ya Meatu , kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.

Baadhi ya viongozi na watumishi wa wilaya ya Meatu wakimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (hayupo pichani) katika kikao kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
Baadhi ya viongozi na watumishi wa wilaya ya Meatu wakimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (hayupo pichani) katika kikao kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga akizungumza na baadhi ya viongozi na watumishi wa wilaya ya Meatu katika kikao kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.

Mkuu wa Wilaya ya Meatu, Dkt. Joseph Chilongani  akizungumza katika kikao cha ndani kati ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (wa pili kulia) na baadhi ya viongozi wilaya ya Meatu , kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
Mkuu wa Idara ya utawala katika Halmashauri ya Wilaya ya Meatu akichangia hoja katika kikao cha ndani kati ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (wa pili kulia) na baadhi ya viongozi wilaya ya Meatu , kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Wilaya ya Meatu akichangia hoja katika kikao cha ndani kati ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (wa pili kulia) na baadhi ya viongozi wilaya ya Meatu , kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Meatu, Bw. Albert Rutaihwa akichangia hoja katika kikao cha ndani kati ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (wa pili kulia) na baadhi ya viongozi wilaya ya Meatu , kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
 
Katibu Tawala wa Wilaya ya Meatu, Bw. Albert Rutaihwa akichangia hoja katika kikao cha ndani kati ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (wa pili kulia) na baadhi ya viongozi wilaya ya Meatu , kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Meatu, Bw. Albert Rutaihwa akichangia hoja katika kikao cha ndani kati ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga (wa pili kulia) na baadhi ya viongozi wilaya ya Meatu , kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Septemba 23, 2020.

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!