
Na Stella Kalinga
Waziri wa Viwanda,Biashara na Masoko wa Zanzibar,Mhe Amina Salum Ali ametoa
wito kwa Serikali kuwekeza katika historia ya nchi na kurahisisha utaratibu wa
kutembelea makumbusho ili wananchi wapate taarifa za kina na kujua historia ya
nchi.
Mhe.Waziri ameyasema hayo leo walayani...