Thursday, October 22, 2020

KIDATO CHA NNE SIMIYU KUANZA KAMBI ZA KITAALUMA OKTOBA 30

 Wanafunzi wa Kidato cha nne mkoani Simiyu wanatarajia kuanza kambi za kitaaluma tarehe 30 Oktoba 2020, kwa ajili ya kujiandaa na mtihani wa Taifa unaotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 23 Novemba 2020 hadi tarehe  11 Desemba, 2020.  Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe....

Wednesday, October 21, 2020

SERIKALI YATOA BILIONI 1.2 KULIPA WAKULIMA WA PAMBA SIMIYU

Serikali imetoa jumla ya shilingi bilioni 1.2 kwa ajili ya kukamilisha malipo ya madeni ya wakulima wa pamba kwa msimu wa mwaka 2019 mkoani Simiyu, ambapo kufikia tarehe 21 Oktoba 2020 wakulima wote waliokuwa wanadai fedha watakuwa wameshalipwa fedha zao.  Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa...

Saturday, October 10, 2020

WAZAZI, WALEZI WAPUNGUZIENI KAZI WANAFUNZI WA MADARASA YA MITIHANI: RC MTAKA

    Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka ametoa wito kwa wazazi na walezi kuwapunguzia kazi  wanafunzi wenye madarasa ya mitihani ya Taifa ya darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne ambayo inatarajiwa kufanyika mwezi Novemba ili waweze kujipatia muda mwingi wa kujisomea...

Monday, October 5, 2020

DARASA LA SABA SIMIYU WAAHIDI KUONGOZA MTIHANI WA TAIFA MWAKA 2020

Zikiwa zimebaki siku mbili kufanya mtihani wa Taifa wa Darasa la Saba, wanafunzi wa darasa la saba mkoani Simiyu wamesema wamedhamiria kushika nafasi ya kwanza Kitaifa  katika mtihani huo kutokana na mikakati ya taaluma iliyopo na maandalizi yaliyofanyika, huku wakiahidi kutoa wanafunzi kumi bora...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!