Wednesday, January 5, 2022

Dhana ya Mikopo kwa Maendeleo ya Nchi- RC KAFULILA

 

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. David Kafulila akizungumza wakati wa kipindi cha ARIDHIO kinachorushwa na TBC. Mhe. Kafulila ameshiriki mjadala wa masuala ya kiuchumi na kuzungumzia dhana ya Mikopo kwa Maendeleo ya nchi. 

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!