MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro,
amewaonya baadhi ya watu wanaohamasishana kupitia mitandao mbalimbali ya
kijamii kuhusu kufanya maandamano bila kufuata utaratibu uliopo na kwamba
kitendo hicho ni kinyume cha sheria.
IGP Sirro amesema hayo leo Februari 26 Mjini Bariadi Mkoani...
Monday, February 26, 2018
Monday, February 26, 2018
IGP SIRRO AWAONYA WANAOTAKA KUANDAMANA
Monday, February 26, 2018
RC MTAKA: FEDHA ZA WADAU WA AFYA ZILENGE KUJIBU MAHITAJI YA WANANCHI
Mkuu wa
Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amewataka wadau na mashirika mbalimbali wanaofanya
kazi na Mkoa huo katika sekta ya Afya
kuelekeza fedha zao zaidi katika masuala yanayojibu mahitaji ya wananchi wa
Mkoa huo kwenye Afya badala ya kujikita zaidi katika kugharamia mafunzo na semina
kwa...
Saturday, February 24, 2018
Saturday, February 24, 2018
RITA KUANZA USAJILI NA KUTOA VYETI VYA KUZALIWA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO MWEZI MACHI SIMIYU
Wakala wa Usajili, Ufilisi na
Udhamini hapa nchini (RITA) unatarajia kuanza kutekeleza mpango wa kusajili na
kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano kuanzia
mwezi Machi , mwaka huu mkoani Simiyu.
Hayo yameelezwa na Kaimu Mtendaji
Mkuu wa RITA, Bi.Emmy Hudson...
Friday, February 23, 2018
Friday, February 23, 2018
SIMON GROUP YACHANGIA MILIONI 25 UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU SIMIYU
Kampuni ya Simon Group imechangia kiasi cha Shilingi
Milioni 25 kwa ajili ya Ujenzi wa Miundombinu ya Elimu katika mkoa wa Simiyu.
Akikabidhi
hundi hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Simon Group, Ndg. Leonard Kitwala amesema
Kampuni hiyo imetoa fedha hizo ili
kuunga mkono juhudi za Serikali...
Friday, February 23, 2018
MAKAMU WA RAIS AKEMEA TABIA YA KUPEANA ZABUNI ZA UJENZI WA MIRADI KINDUGU
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amekemea
tabia ya baadhi ya viongozi kuwapa ndugu au jamaa zao zabuni za ujenzi wa
miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwepo miradi ya maji kwa kuwa ni kinyume cha
taratibu na hali hiyo haiwatendei haki wananchi na Serikali.
Mhe.Makamu
wa...
Friday, February 23, 2018
MAKAMU WA RAIS AKITAKA CHUO KIKUU HURIA KUONGEZA UDAHILI KUSAIDIA TANZANIA KUFIKIA UCHUMI WA KATI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan amekitaka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kuongeza
ubora na kupanua wigo wa udahili wa wanafunzi kwenye programu za sasa ili
kuendana na Sera Tanzania ya viwanda na kufikia Uchumi wa kati ifikapo 2025.
Ushauri...
Thursday, February 22, 2018
Thursday, February 22, 2018
SHIRIKA LA MAENDELEO LA UINGEREZA LATOA SHILINGI BILIONI 1.7 UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU SIMIYU
Shirika
la Mendeleo la Uingereza (DFID) kupitia Mpango wa Kuboresha Elimu
Tanzania(EQUIP-T) limetoa jumla ya shilingi bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu ya Elimu
katika Halmashauri zote za mkoa wa Simiyu.
Hayo
yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Anthony Mtaka wakati wa...