Monday, February 26, 2018

IGP SIRRO AWAONYA WANAOTAKA KUANDAMANA

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amewaonya baadhi ya watu wanaohamasishana kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu kufanya maandamano bila kufuata utaratibu uliopo na kwamba kitendo hicho ni kinyume cha sheria. IGP Sirro amesema hayo leo Februari 26 Mjini  Bariadi Mkoani...

RC MTAKA: FEDHA ZA WADAU WA AFYA ZILENGE KUJIBU MAHITAJI YA WANANCHI

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amewataka wadau na mashirika mbalimbali wanaofanya kazi na Mkoa huo  katika sekta ya Afya kuelekeza fedha zao zaidi katika masuala yanayojibu mahitaji ya wananchi wa Mkoa huo kwenye Afya badala ya kujikita zaidi katika kugharamia mafunzo na semina kwa...

Saturday, February 24, 2018

RITA KUANZA USAJILI NA KUTOA VYETI VYA KUZALIWA KWA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO MWEZI MACHI SIMIYU

Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini hapa nchini (RITA) unatarajia kuanza kutekeleza mpango wa kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano kuanzia mwezi Machi ,  mwaka huu mkoani Simiyu. Hayo yameelezwa na Kaimu Mtendaji Mkuu wa RITA, Bi.Emmy Hudson...

Friday, February 23, 2018

SIMON GROUP YACHANGIA MILIONI 25 UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU SIMIYU

Kampuni ya Simon Group imechangia kiasi cha Shilingi Milioni 25 kwa ajili ya Ujenzi wa Miundombinu ya Elimu  katika mkoa wa Simiyu. Akikabidhi hundi hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Simon Group, Ndg. Leonard Kitwala amesema  Kampuni hiyo imetoa fedha hizo ili kuunga mkono juhudi za Serikali...

MAKAMU WA RAIS AKEMEA TABIA YA KUPEANA ZABUNI ZA UJENZI WA MIRADI KINDUGU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amekemea tabia ya baadhi ya viongozi kuwapa ndugu au jamaa zao zabuni za ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwepo miradi ya maji kwa kuwa ni kinyume cha taratibu na hali hiyo haiwatendei haki wananchi na Serikali. Mhe.Makamu wa...

MAKAMU WA RAIS AKITAKA CHUO KIKUU HURIA KUONGEZA UDAHILI KUSAIDIA TANZANIA KUFIKIA UCHUMI WA KATI

Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekitaka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kuongeza  ubora na kupanua wigo wa udahili wa wanafunzi  kwenye programu za sasa ili kuendana na Sera Tanzania ya viwanda na kufikia Uchumi wa kati ifikapo 2025. Ushauri...

Thursday, February 22, 2018

SHIRIKA LA MAENDELEO LA UINGEREZA LATOA SHILINGI BILIONI 1.7 UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU SIMIYU

Shirika la Mendeleo la Uingereza (DFID) kupitia Mpango wa Kuboresha Elimu Tanzania(EQUIP-T) limetoa jumla ya shilingi bilioni 1.7  kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu ya Elimu katika Halmashauri zote za mkoa wa Simiyu. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Anthony Mtaka wakati wa...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!