Wednesday, January 23, 2019

Waziri wa Afya Aitaka TBA Kurejesha Fedha za Ujenzi wa Mradi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu.

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameagiza Wakala wa Majengo nchini TBA kurejesha fedha ilizokabidhiwa na wizara yake kwenye ofisi za TBA mjini Bariadi ili zitumike kukamilisha mradi wa ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Simiyu ambao kasi ya ujenzi wake kwa...

Monday, January 21, 2019

Viongozi wa Riadha Kanda ya Ziwa Washauriwa Kuziandaa Timu zao Mapema

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu ambaye pia ni rais wa chama cha riadha nchini Anthony Mtaka amewaagiza viongozi wa riadha kanda ya ziwa kuweka mpango mkakati endelevu wa kuwatambua na kuwaandaa kikamilifu wachezaji watakaoshiriki katika mashindano mbalimbali ndani na nje ya nchi. Mhe Mtaka ametoa kauli...

Friday, January 18, 2019

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aiagiza Mikoa Minane Inayolima Pamba Kuongeza Kasi ya Usimamizi kwa Kutoa Elimu kwa Wakulima, Simiyu Yaahidi Kuongeza Uzalishaji Hadi Tani 240,000, Yajiandaa Kumkwamua Mkulima Kuondokana na Utegemezi wa Mikopo.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka akiwa na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama pamoja   na viongozi mbalimbali ngazi ya mkoa wakifuatilia mkutano kwa njia ya mawasiliano ya video (Video Conference) ulioongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kujadili mwendendo wa kilimo cha Pamba. Wajumbe...

Monday, January 14, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka Awapa Somo Wachezaji wa Timu ya Coasta Unioni ya Tanga.

RC Mtaka Awashauri Wachezaji na Viongozi wa Coastal Union kutumia Falsafa ya Michezo ni Ajira na Biashara Kama Njia ya Kuleta Mapinduzi ya Soka Nchini Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka amewashauri wachezaji wa timu ya Coastal Union ya Tanga kutambua kuwa michezo ni biashara na pia ni ajira hivyo...

Wednesday, January 9, 2019

RC Mtaka Asema Simiyu imejipanga Kuendesha Biashara Kimkakati

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka amezishauri taassi zinazosimamia masuala ya biashara kuwajengea uwezo wafanyabiashara ikiwa ni pamoja na kuwaelimisha umuhimu wa kusajili kampuni zao hatua itakayowawezesha kuendesha shughuli zao kwa tija. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kampeni ya kitu...

Monday, January 7, 2019

DKT. BASHIRU AWATAKA WATUMISHI WA SERIKALI KUJIFUNZA KUFANYA MAAMUZI KUTOKA KWA RAIS MAGUFULI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Bashiru Ally amewataka Watumishi wa Serikali  kujifunza kufanya maamuzi  kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa. Dkt. Bashiru ameyasema hayo mjini Bariadi katika...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!