Thursday, February 28, 2019

NAIBU WAZIRI IKUPA AWAOMBA WADAU KUWASAIDIA WALEMAVU VIFAA SAIDIZI

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu nayeshughulikia watu wenye ulemavu, Mhe. Stella Ikupa ametoa wito kwa wadau kuendelea kutoa msaada wa vifaa saidizi kwa watu wenye ulemavu kwa kuwa hili ni hitaji endelevu kwa watu hao. Mhe. Ikupa ameyasema hayo jana Februari 27, 2019 wakati akizungumza...

DC BARIADI: WALEMAVU WATASHIRIKISHWA KATIKA FURSA ZOTE ZA KIUCHUMI

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga amesema Serikali wilayani humo itaendelea kuhakikisha watu wenye ulemavu wanashirikishwa katika fursa za kiuchumi ili waweze kujikwamua kiuchumi na kuondokana na utegemezi. Kiswaga ameyasema hayo wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri...

SERIKALI KUZINDUA MFUKO WA WATU WENYE ULEMAVU

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu, Mhe. Stella Ikupa amesema Serikali inatarajia kuzindua rasmi mfuko wa watu wenye ulemavu ambao utakuwa ukishughulikia masuala mbalimbali ya watu wenye ulemavu ikiwemo kutoa ruzuku kwa vyama vya watu wenye ulemavu. Mhe....

Tuesday, February 26, 2019

NAIBU WAZIRI IKUPA: KILIMO SI SHUGHULI YA WAZEE

Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu, Mhe.  Stella  Ikupa  amewashauri Vijana nchini, kuondokana na dhana ya kuwa shughuli za kilimo ni za Wazee na badala yake watumie vitalu nyumba kujifunza kilimo chenye tija na hatimaye waweze kujikwamua ...

NAIBU WAZIRI IKUPA ATOA WITO KWA WENYE ULEMAVU KUJIUNGA NA CHF ILIYOBORESHWA

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia  masuala ya watu wenye  ulemavu, Mhe.Stella Ikupa  ametoa wito kwa viongozi wa vyama vya watu wenye  ulemavu, kuwahamasisha wanachama wao kujiunga na  mfuko  wa afya ya jamii (CHF )ulioboreshwa ili waweze kupata uhakika...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!