
Shirika
lisilo la Kiserikali la AGPAHI limetoa msaada wa jumla ya vifaa 50 vya kupima
joto mwili vyenye thamani ya shilingi 12,500,000/= kwa mkoa wa Simiyu kwa ajili
ya kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Corona.
Awali akizungumza kabla
ya kukabidhi vifaa hivyo Mratibu...