Monday, June 1, 2020

WALIOSABABISHA HOJA ZA UKAGUZI WACHUKULIWE HATUA: SAGINI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini amewataka viogozi wa Halmashauri mkoani hapa kuwachukulia hatua watumishi wote waliosabaisha hoja za ukaguzi.
Sagini ameyasema hayo katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya Itilima, ambacho kimefanyika kwa lengo kujdili hoja na mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali(CAG) kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!