Sunday, March 14, 2021

VIONGOZI SIMIYU WAASWA KUTUMIA BUSARA BADALA YA NGUVU

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka ametoa rai kwa Viongozi wa Serikali mkoani hapa kutumia busara na akili badala ya kutumia nguvu katika kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi katika maeneo waliyopo na kuhakikisha ufumbuzi unaotolewa unaleta tija kwa wananchi.   Mtaka ametoa...

Tuesday, March 9, 2021

SERIKALI YAANZA MAANDALIZI UJENZI WA RELI YA KISASA MWANZA-ISAKA, BANDARI KAVU KUJENGWA SIMIYU

 Serikali imeanza maandalizi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Mwanza-Isaka yenye urefu wa kilomita 341 ambayo itajengwa kwa gharama ya shilingi trilioni 3.0267 fedha za ndani, ambapo katika mradi huu Bandari kavu na stesheni  vinatarajiwa kujengwa katika eneo la Malampaka wilayani...

ZAIDI YA MILIONI 138 ZATOLEWA MIKOPO KWA WANAWAKE SIMIYU

                 Katika mwaka wa fedha 2019/2020 Halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu zimetoa shilingi 138,030,500/= kwa vikundi 122 vya wanawake kama mikopo kutoka katika asilimia nne ya mapato ya ndani ya halmashauri, kwa ajili ya kuwapatia mitaji ya kuanzisha...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!