Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka ametoa rai
kwa Viongozi wa Serikali mkoani hapa kutumia busara na akili badala ya kutumia
nguvu katika kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi katika
maeneo waliyopo na kuhakikisha ufumbuzi unaotolewa unaleta tija kwa wananchi.
Mtaka
ametoa...
Sunday, March 14, 2021
Sunday, March 14, 2021
VIONGOZI SIMIYU WAASWA KUTUMIA BUSARA BADALA YA NGUVU
Tuesday, March 9, 2021
Tuesday, March 09, 2021
SERIKALI YAANZA MAANDALIZI UJENZI WA RELI YA KISASA MWANZA-ISAKA, BANDARI KAVU KUJENGWA SIMIYU

Serikali
imeanza maandalizi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Mwanza-Isaka
yenye urefu wa kilomita 341 ambayo itajengwa kwa gharama ya shilingi trilioni
3.0267 fedha za ndani, ambapo katika mradi huu Bandari kavu na stesheni vinatarajiwa kujengwa katika eneo la Malampaka
wilayani...
Tuesday, March 09, 2021
ZAIDI YA MILIONI 138 ZATOLEWA MIKOPO KWA WANAWAKE SIMIYU
Katika mwaka wa fedha 2019/2020 Halmashauri sita za
Mkoa wa Simiyu zimetoa shilingi 138,030,500/= kwa vikundi 122 vya wanawake kama
mikopo kutoka katika asilimia nne ya mapato ya ndani ya halmashauri, kwa ajili
ya kuwapatia mitaji ya kuanzisha...