Thursday, August 29, 2019

SIMIYU YAANDAA MKAKATI MAALUM WA MIAKA MITANO 2019-2024 WA MAPINDUZI YA KILIMO CHA PAMBA

Katika kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa  soko la pamba mkoa wa Simiyu umeandaa mkakati maalum wa miaka mitano (2019-2024) wa mapinduzi ya kilimo cha zao hilo ili kujibu changamoto zinazowakabili wakulima wa pamba. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka katika...

Thursday, August 22, 2019

WANAFUNZI WALIOPATA SIFURI MTIHANI WA ‘MOCK’ KIDATO CHA NNE SIMIYU KUWEKWA KAMBI MAALUM YA KITAALUMA

Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe Anthony Mtaka amesema wanafunzi kidato cha nne waliopata daraja sifuri katika mtihani wa Mkoa wa Kujipima ‘Mock’ watawekwa  katika kambi maalum ya kitaaluma na kufundishwa na walimu mahiri  kwa lengo la kuwasaidia kuongeza ufaulu na kufikia  daraja la nne...

RC MTAKA AMPONGEZA JPM KUWA MWENYEKITI SADC, ATOA WITO KWA WAWEKEZAJI VIWANDA VYA DAWA, VIFAA TIBA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, MHE. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini  mwa Afrika (SADC), ambapo pia ametoa wito kwa wawekezaji kuwekeza kwenye viwanda vya dawa na...

Wednesday, August 21, 2019

MILA ZINAZOCHANGIA JAMII KUTOTUMIA VYOO ZIPIGWE VITA: RC MTAKA

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka ametoa wito kwa jamii kupiga viya mila na desturi zinazochangia watu kutotumia vyoo na kusisitiza kila kaya ione umuhimu wa kuwa na choo bora, ikiwa ni njia ya kuboresha afya na usafi wa mazingira na kuondokana  na hatari ya magonjwa ya mlipuko ikiwemo...

Tuesday, August 20, 2019

MSD KUJENGA KITUO CHA MAUZO NA USAMBAZAJI DAWA SIMIYU

Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya dawa (MSD)  Laurean Bwanakunu amesema Bohari ya dawa inatarajia kuanza ujenzi wa kituo cha mauzo na  usambazaji  dawa mkoani Simiyu ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa mkoa wa Simiyu na mikoa jirani. Bwanakunu ameyasema hayo Agosti 19,2019...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!