Waziri wa Kilimo, Mhe. Japhet Hasunga ametoa wito
kwa Taasisi za Fedha kuhakikisha kuwa zinawafikia wakulima katika kuwezesha
shughuli za kilimo ili kuongeza mchango wa kilimo katika pato la Taifa,
upatikanaji wa chakula na ajira kwa Watanzania wengi, ambapo mpaka sasa
takribani asilimia 65 hadi 75 wameajiriwa au kujiajiri kupitia kilimo.
Waziri Hasunga ameyasema hayo wakati alipokuwa
akitembelea mabanda ya Taasisi za fedha katika Maonesho ya Nanenane
yanayoendelea, Kanda ya Ziwa Mashariki Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Amesema nchi inaweza kutoka hapa ilipo na ikasogea
kwa haraka ikiwa kilimo kitawezeshwa ipasavyo kwa kuwa kilimo kikiwezeshwa
kinaweza kuongeza mchango wake katika pato la Taifa.
“ Imani yangu ni kwamba nchi hii inaweza kutoka hapa
ilipo kama tutakiwezesha kilimo kina uwezo wa kuongeza mchango wake kwenye pato
la Taifa, upatikanaji wa fedha za kigeni, usalama wa chakula, kutoa ajira kwa
watu wengi ambapo mpaka sasa hivi tuna karibu asilimia 65 hadi 75 wameajiriwa
kwenye kilimo” alisema Mhe. Hasunga.
Ameongeza kuwa lengo la Serikali ni kufanya
mabadiliko makubwa ya kuihamisha Sekta ya Kilimo kutoka kwenye kuwa sekta
kujikumu na kuwa mhimili wa kweli wa ujenzi wa uchumi wa nchi na uchumi wa
viwanda.
Aidha, amesema pamoja na kuwawezesha wakulima ni
vema Taasisi za fedha zikatambua nafasi yake katika kuwawezesha mitaji wamiliki
wa viwanda vinavyoongeza thamani mazao ya kilimo ili viweze kujengwa viwanda
vya kuongeza thamani mazao mbalimbali.
Kwa upande wake
Meneja wa NMB Kanda Magharibi, Bw. Sospeter Magesse amesema Benki hiyo
tayari inafanya kazi na wakulima na akamhakikishia Mhe. Waziri kuwa itajipanga
kwa kushirikiana na Serikali kuhakikisha inawafikia na kuwawezesha wakulima
wengi zaidi.
MWISHO
Mtaalam wa kilimo
akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga ( wa pili kushoto) na
Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Prof. Dkt. Ratlan Pardede ( wa tatu
kushoto) wakati walipotembelea vipando
vya mazao ya kilimo, Agosti 05, 2019
katika Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya
Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Mtaalamu wa TANESCO
akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga (kulia) na Balozi wa
Indonesia nchini Tanzania, Prof. Dkt. Ratlan Pardede ( wa pili kulia) wakati
walipotembelea banda la maonesho la TANESCO, Agosti 05, 2019 katika Maonesho ya
Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki,
Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Mkuu wa mkoa wa
Shinyanga, Mhe. Zainab Telack akifafanua jambo kwa Balozi wa Indonesia nchini
Tanzania, Prof. Dkt. Ratlan Pardede (kulia) wakati alipotembelea Mabanda ya
Mifugo ya Mkoa huo, Agosti 05, 2019 kwenye Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka
2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi
Bariadi Simiyu.
Mtaalam wa kilimo
akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga , Balozi wa Indonesia
nchini Tanzania, Prof. Dkt. Ratlan Pardede
na viongozi wengine wakati walipotembelea vipando vya mazao ya kilimo, Agosti 05, 2019 katika Maonesho ya
Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki,
Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Balozi wa Indonesia
nchini Tanzania, Prof. Dkt. Ratlan Pardede (kulia) akimweleza jambo Mtaalamu wa
TANESCO wakati yeye , Waziri wa kioimo na viongozi wengine walipotembelea banda
la maonesho la TANESCO, Agosti 05, 2019 kwenye
Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya
Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Baadhi ya viongozi
wakiangali baadhi ya bidhaa za kilimo, mifugo na uvuvi wakiangalia baadhi ya
mabanda ya wajasiriamali wakati walipotembelea mabanda ya maonesho, Agosti 05,
2019 kwenye Maonesho ya Nanenane Kitaifa
mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya
Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga ( wa tano kulia) na Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Prof.
Dkt. Ratlan Pardede (wa sita kulia) wakiangalia ufugaji bora wa kuku wakati
walipotembelea mabanda ya mifugo, Agosti
05, 2019 katika Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika
Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga ( katikati) akioneshwa
mbegu bora za mahindi zinazozalishwa na
PANNAR wakati walipotembelea mabanda ya
mifugo, Agosti 05, 2019 katika Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019,
yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi
Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga ( katikati) akioneshwa
mbegu bora za mahindi zinazozalishwa na
PANNAR wakati walipotembelea mabanda ya
mifugo, Agosti 05, 2019 katika Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019,
yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga ( mwenye kofia kulia)
akipewa maelezo juu ya ufugaji wa samaki kwa kutumia mabwawa alipotembelea mabanda ya mifugo, Agosti 05, 2019 katika
Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa
Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Mtaalam wa kilimo
akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga , Balozi wa Indonesia
nchini Tanzania, Prof. Dkt. Ratlan Pardede
na viongozi wengine wakati walipotembelea vipando vya mazao ya kilimo, Agosti 05, 2019 katika Maonesho ya
Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki,
Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga , akizungumza na baadhi ya viongozi na wataalam wa Halmashauri
ya Mji wa Bunda wakati alipotembelea
vipando vya mazao ya kilimo,
Agosti 05, 2019 katika Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea
katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Baaadhi ya wananchi
wakipata huduma katika Banda la Chuo Kikuu cha Kilimo, SOKOINE katika Maonesho
ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki,
Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga na viongozi wengine wakiangalia baadhi ya vifaa vya TANESCO
vilivyowekwa katika banda lao kwa ajili ya kutoa elimu kwa wananchi, katika
Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa
Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Baadhi ya viongozi na
waannchi wakipata huduma katika Banda la maonesho la ASDP katika Maonesho ya
Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki,
Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga akimuonesha jambo Balozi
wa Indonesia nchini Tanzania, Prof. Dkt. Ratlan Pardede (kulia) wakati
alipotembelea Mabanda ya Taasisi zilizo
chini ya wizara, Agosti 05, 2019 kwenye Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019,
yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi
Simiyu.
Mkuu wa Mkoa wa
Shinyanga(Mwenye Ushungi) akiwaongoza Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga na
Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Prof. Dkt. Ratlan Pardede kuelekea kwenye
ukaguzi wa mabanda ya Mifugo ya Mkoa wa Shinyanga, kwenye Maonesho ya Nanenane
Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya
Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Mtaalam kutoka TEMESA
akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga juu ya huduma
zinazotelewa na TEMESA, wakati walipotembelea banda la Taasisi hiyo Agosti 05,
2019 kwenye Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda
ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Mtaalam kutoka TEMESA
akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga juu ya huduma
zinazotelewa na TEMESA, wakati walipotembelea banda la Taasisi hiyo Agosti 05,
2019 kwenye Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda
ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Baadhi ya wananchi
wakipatiwa huduma katika banda la Jeshi
la polisi kwenye Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika
Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga (wa pili kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa wa benki
ya NMB wakati alipotembelea banda la
benki hiyo Agosti 05, 2019 kwenye Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea
katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Afisa
kutoka TAHA akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo, Mhe. Japhet Hasunga kuhusu
namna TAHA inavyofanya kazi, wakati alipotembelea Banda la TAHA, Agosti 05, 2019 katika
Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa
Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu
Mfano wa Bustani za
nyumbani za mbogamboga zilizopo katika Vipando vya HALMASHAURI YA Mji wa
Bunda, katika Maonesho ya Nanenane
Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya
Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga , akitoa maelekezo kwa
baadhi ya viongozi na wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
alipotembelea vipando vya mazao ya kilimo, Agosti 05, 2019 katika Maonesho ya
Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki,
Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga (wa pili kulia) akiwa na viongozi wengine wakikagua vipando vya mazao ya kilimo, Agosti 05, 2019 katika Maonesho ya
Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki,
Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Baadhi ya wananchi
wakipata huduma katika Banda la Maonesho la Shirika la Bima la Taifa(NIC) katika
Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa
Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Baadhi ya wananchi
wakipata huduma katika Banda la Maonesho la Shirika la Bima la Taifa(NIC) katika
Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa
Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga (wa tatu kushoto), akipewa maelezo ya mfano wa namna ufugaji kwa
kutumia vizimba unavyokuwa, wakati
alipotembelea Banda la PASS, Agosti 05,
2019 katika Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda
ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Waziri wa Kilimo Mhe.
Japhet Hasunga ( kushoto), akizungumza na wataalam kutoka AGRICOM ambayo
inajishughulisha na uuzaji wa zana bora za kisasa, wakati alipotembelea Banda la PASS, Agosti 05, 2019 katika
Maonesho ya Nanenane Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa
Mashariki, Viwanja vya Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Baadhi ya zana za
kisasa inayopatikana katika banda la AGRICOM katika Maonesho ya Nanenane
Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya
Nyakabindi Bariadi Simiyu.
Baadhi ya zana za
kisasa inayopatikana katika banda la AGRICOM katika Maonesho ya Nanenane
Kitaifa mwaka 2019, yanayoendelea katika Kanda ya Ziwa Mashariki, Viwanja vya
Nyakabindi Bariadi Simiyu.
0 comments:
Post a Comment