Saturday, November 30, 2019

RAS SIMIYU AZINDUA UTAFITI WA MATUMIZI YA SIMU KATIKA KUONGEZA ULIPAJI KODI ZA MAJENGO

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini amezindua rasmi utafiti unaohusu matumizi ya simu za mikononi katika kuongeza ulipaji kodi za majengo nchini Tanzania, PIERI 20355 ambao utafanyika kuanzia Novemba 28, 2019 hadi 30 Juni 2020 katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi na Halmashauri ya...

MASWA YAZINDUA MFUKO WA WALIMU KUWASAIDIA KUPATA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU

Wilaya ya Maswa imezindua mfuko wa walimu kwa lengo la kuwasaidia walimu ambao hawana sifa za kukopesheka katika taasisi zingine za fedha ili waweze kupata mikopo kwa riba nafuu. Mfuko huo umezinduliwa na Katibu wa Chama cha Walimu nchini, Mwl. Deus Seif wakati wa hafla ya kuwapongeza walimu zaidi...

CWT KUJENGA KIWANDA CHA MIKATE LISHE SIMIYU

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kinatarajia kujenga kiwanda cha mikate lishe kupitia kampuni yao inayosimamia Maendeleo ya Walimu ya biashara (TDCL), katika eneo la Ng’hami wilayani Maswa mkoani Simiyu. Akimkabidhi  Katibu wa Chama cha Walimu Nchini, Mwl. Deus Seif hati ya kiwanja chenye...

Monday, November 25, 2019

MWEKEZAJI KUTOKA MALAYSIA ANATARAJIA KUWEKEZA MRADI WA DOLA BILIONI 2.5 PORI LA AKIBA LA KIJERESHI SIMIYU

Mwekezaji Azhar Malik kutoka Nchini Malaysia ameonesha nia ya kuwekeza kiasi cha Dola za kimarekani bilioni 2.5 katika mradi mkubwa eneo la pori la akiba la Kijereshi na Ziwa Victoria wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, sehemu ya uwekezaji huo ikiwa ni katika ujenzi wa hoteli ya kitalii, usafirishaji,...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!