Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini amezindua
rasmi utafiti unaohusu matumizi ya simu za
mikononi katika kuongeza ulipaji kodi za majengo nchini Tanzania, PIERI 20355
ambao utafanyika kuanzia Novemba 28, 2019 hadi 30 Juni 2020 katika Halmashauri
ya Mji wa Bariadi na Halmashauri ya...
Saturday, November 30, 2019
Saturday, November 30, 2019
RAS SIMIYU AZINDUA UTAFITI WA MATUMIZI YA SIMU KATIKA KUONGEZA ULIPAJI KODI ZA MAJENGO
Saturday, November 30, 2019
MASWA YAZINDUA MFUKO WA WALIMU KUWASAIDIA KUPATA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU
Wilaya ya Maswa imezindua mfuko
wa walimu kwa lengo la kuwasaidia walimu ambao hawana sifa za kukopesheka
katika taasisi zingine za fedha ili waweze kupata mikopo kwa riba nafuu.
Mfuko
huo umezinduliwa na Katibu wa Chama cha Walimu nchini, Mwl. Deus Seif wakati wa
hafla ya kuwapongeza walimu zaidi...
Saturday, November 30, 2019
CWT KUJENGA KIWANDA CHA MIKATE LISHE SIMIYU
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kinatarajia kujenga kiwanda cha mikate lishe kupitia kampuni yao inayosimamia Maendeleo ya Walimu ya biashara (TDCL), katika eneo la Ng’hami wilayani Maswa mkoani Simiyu.
Akimkabidhi Katibu wa Chama cha Walimu Nchini, Mwl. Deus Seif hati ya kiwanja chenye...
Monday, November 25, 2019
Monday, November 25, 2019
MWEKEZAJI KUTOKA MALAYSIA ANATARAJIA KUWEKEZA MRADI WA DOLA BILIONI 2.5 PORI LA AKIBA LA KIJERESHI SIMIYU
Mwekezaji Azhar
Malik kutoka Nchini Malaysia ameonesha nia ya kuwekeza kiasi cha Dola za
kimarekani bilioni 2.5 katika mradi mkubwa eneo la pori la akiba la Kijereshi
na Ziwa Victoria wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, sehemu ya uwekezaji huo ikiwa
ni katika ujenzi wa hoteli ya kitalii, usafirishaji,...