Sunday, November 17, 2019

TUNATARAJIA KUWA NA VIWANDA VICHACHE VITAKAVYOAJIRI MAELFU: RC MTAKA


Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema nimatarajio ya mkoa huo ni kuwa na viwanda vichache vitakavyoajiri maelefu ya Watanzania badala ya kuwa na viwanda maelfu vinavyoajiri watu wachache ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata ajira.

Mtaka ameyasema haya Novemba 14, 2019  wakati ziara ya  Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Prof. Elizabeth Kiondo aliyefuatana na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram anayetarajia kujenga kiwanda cha  nguo mkoani Simiyu walipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd wakiwa katika ziara Mkoani hapa iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.

Baadhi ya viongozi waliofuatana na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram (wa pili kulia) anayetarajia kujenga kiwanda cha nguo Isanga Mjini Bariadi Mkoani Simiyu mwaka 2020 wakiangalia namna pamba ilichambuliwa inavyofungwa katika marobota,  alipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd Novemba 14, 2019 wilayani Bariadi, wakati wa ziara yake mkoani Simiyu iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.
Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Prof. Elizabeth Kiondo (katikati) na viongozi wengine wakiangalia pamba walipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd wilayani Bariadi, wakati wa ziara yake mkoani Simiyu  akiwa amefuatana na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.

Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd wilayani Bariadi, Bw. Boaz Ogola akitoa maelezo kwa Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram(wa pili kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Prof. Elizabeth Kiondo (wa tatu kushoto)  wakiwa na viongozi wengine walipotembela kiwwanda hicho wakati wa ziara yao mkoani Simiyu iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.
Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd wilayani Bariadi, Bw. Boaz Ogola(wa tatu kulia mbele) akiwaongoza viongozi waliofuatana na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram (wa pili kulia) anayetarajia kujenga kiwanda cha nguo Mkoani Simiyu mwaka 2020 alipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd  Novemba 14, 2019  wilayani Bariadi, wakati wa ziara yake mkoani Simiyu iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.
Mtaalam wa mbegu kutoka katika Kampuni inayochakata mbegu ya CUTTON akioa maelezo kwa viongozi mbalimbali waliofuatana na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram (wa tatu kulia) anayetarajia kujenga kiwanda cha nguo Mkoani Simiyu mwaka 2020 alipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd Novemba 14, 2019  wilayani Bariadi, wakati wa ziara yake mkoani Simiyu iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Prof. Elizabeth Kiondo (wa pili kulia).


Baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Simiyu wakiwa na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram, alipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd Novemba 14, 2019  wilayani Bariadi, wakati wa ziara yake mkoani Simiyu iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.


Baadhi ya wataalam wa kiwanda cha kuchakata mbegu ya pamba cha CUTTON wakimuonesha jambo Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram, alipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd Novemba 14, 2019  wilayani Bariadi, wakati wa ziara yake mkoani Simiyu iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.
Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Prof. Elizabeth Kiondo (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram(wa tano kushoto), baadhi ya viongozi wa mkoa wa Simiyu na wadau wengine wa maendeleo wa Mkoa wa Simiyu mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili Novemba 14, 2019   akiwa amefuatana na mwekzaji huyo kwa lengo la kuangalia mazingira ya uwekezaji katika viwanda.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka akitoa neon la shukrani mara baada ya kuhitimishwa kwa ziara ya Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Prof. Elizabeth Kiondo (kulia) mkoani Simiyu ambapo alifuatana na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram (kushoto) iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.
 Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Prof. Elizabeth Kiondo (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram(wa tano kushoto), baadhi ya viongozi wa mkoa wa Simiyu na wadau wengine wa maendeleo wa Mkoa wa Simiyu mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili Novemba 14, 2019   akiwa amefuatana na mwekezaji huyo kwa lengo la kuangalia mazingira ya uwekezaji katika viwanda.


Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd wilayani Bariadi, Bw. Boaz Ogola akitoa maelezo kwa Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram(wa tatu kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Prof. Elizabeth Kiondo (wa pili kulia)  wakiwa na viongozi wengine walipotembela kiwanda hicho wakati wa ziara yao mkoani Simiyu iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.
Kutoka kulia Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram anayetarajia kujenga kiwanda cha nguo mkoani Simiyu, Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd wilayani Bariadi, Bw. Boaz Ogola na Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka  wakiteta jambo wakati wa ziara ya mwekezaji huyo katika kiwanda cha Aliance Ginnery Ltd Novemba 14, 2019.  
Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd wilayani Bariadi, Bw. Boaz Ogola(kulia)  akitoa maelezo kwa Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram anayetarajia kujenga kiwanda cha nguo mkoani Simiyu na viongozi wengine wakati wa ziara ya mwekezaji huyo katika kiwanda cha Aliance Ginnery Ltd Novemba 14, 2019 .
Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram anayetarajia kujenga kiwanda cha nguo mkoani Simiyu akimuonesha kitu Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka wakati wa ziara yake katika kiwanda cha Aliance Ginnery Ltd Novemba 14, 2019  .
Baadhi ya  viongozi wa mkoa wa Simiyu na wadau wengine wa pamba wakiangalia pamba walipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha Alliance Ginnery Ltd wilayani Bariadi, wakati wa ziara ya Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Prof. Elizabeth Kiondo mkoani Simiyu(hayupo pichani) ambaye alifuatana na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram, iliyolenga kuangalia mazingira wezeshi kwa ajili ya ujenzi wa viwanda.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini(kushoto) akifurahia jambo na mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili Novemba 14, 2019   akiwa amefuatana na Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Mustafa Albayram kwa lengo la kuangalia mazingira ya uwekezaji katika viwanda.

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!