Tuesday, December 3, 2019

WATU WENYE ULEMAVU WAIPONGEZA SERIKALI KUWATAMBUA NA KUWAJALI


Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), Bw. Jonas Lubago ameishukuru na kuipongeza Serikali ya awamu ya tano kwa kujali sana kundi la watu wenye ulemavu, ambapo kundi hili limepata uwakilishi kwenye idara mbalimbali na vikao vyote nchini.

Lubago ameyasema hayo Desemba 02, 2019 katika la Watu wenye ulemavu liliofanyika Mjini Bariadi ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Watu wenye Ulemavu Duniani Desemba 03, 2019 ambayo yanafanyika Kitaifa Mkoani Simiyu.

 Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu (SHIVYAWATA), Bw. Jonas Lubago akiwasilisha mada katika Kongamano la Watu wenye Ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.


 Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga akifungua Kongamano la watu wenye ulemavu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka,  lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.


 Baadhi ya watu wenye ulemavu wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga(hayupo pichani) akifungua Kongamano la watu wenye ulemavu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka,  lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.


 Baadhi ya watu wenye ulemavu wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga(hayupo pichani) akifungua Kongamano la watu wenye ulemavu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka,  lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.


 Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu (SHIVYAWATA), Bibi. Tungi Mwanjala akizungumza na watu wenye ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.


 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu (SHIVYAWATA) Bi. Nuru Awadh akichangia hoja  katika Kongamano la Watu wenye Ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.


 Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga (katikati) na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu (SHIVYAWATA) wakifurahia jambo   katika Kongamano la Watu wenye Ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.


 Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga (katikati mbele) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)  mara baada ya kufungua Kongamano la Watu wenye Ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.


 Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga (wa pili kushoto ) na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu (SHIVYAWATA) wakifurahia jambo   katika Kongamano la Watu wenye Ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.

 Mmoja wa watu wenye ulemavu akichangia hoja  katika Kongamano la Watu wenye Ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga (katikati mbele) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wanawake wa  Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)  mara baada ya kufungua Kongamano la Watu wenye Ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.
 Mmoja wa watu wenye ulemavu akichangia hoja  katika Kongamano la Watu wenye Ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.
Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga (katikati walioketi meza kuu mbele) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wanawake wa  Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)  mara baada ya kufungua Kongamano la Watu wenye Ulemavu lililofanyika Desemba 2, 2019 Mjini Bariadi.

0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!