Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,
Mhe. Anthony Mtaka amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote mkoani hapa
kuhakikisha wanawalipa Madiwani stahili zao zote wanazodai kabla ya kuvunjwa
kwa mabaraza ya Halmashauri ambayo yanatarajiwa kuvunjwa kabla ya tarehe 10 Juni
2020.
Mtaka ametoa agizo hilo Mei
26, 2020...
Wednesday, May 27, 2020
Wednesday, May 27, 2020
HALMASHAURI ZA MKOA WA SIMIYU ZAAGIZWA KULIPA STAHILI ZA MADIWANI
Tuesday, May 26, 2020
Tuesday, May 26, 2020
WASHIRIKI NANENANE KITAIFA MWAKA 2020 SIMIYU WAHIMIZWA KUANZA MAANDALIZI
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini ametoa wito
kwa Taasisi, mashirika ya Umma na binafsi na wadau wote wa kilimo, mifugo na
uvuvi wanaotarajia kushiriki maonesho ya Kitaifa ya Nanenane mwaka huu kuanza
maandalizi ya maonesho hayo.
Sagini ameyasema hayo jana mara baada ya kukagua...
Saturday, May 23, 2020
Saturday, May 23, 2020
SIMIYU TUMEJIPANGA KIKAMILIFU KUWAPOKEA KIDATO CHA SITA KUANZA MASOMO JUNI MOSI: SAGINI
Na
Stella Kalinga, Simiyu RS
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini
amesema mkoa huo umejipanga kikamilifu kuwapokea wanafunzi wa kidato cha sita kwa
ajili ya kuanza masomo Juni Mosi, 2020 kama ilivyoelekezwa na Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Akizungumza...
Thursday, May 14, 2020
Thursday, May 14, 2020
SEKTA BINAFSI ILELEWE NA IPENDWE-RC MTAKA
Mkuu
wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka ametoa wito kwa viongozi wa Serikali
mkoani hapa kuilea na kuipenda sekta binafsi na kuona namna sahihi ya kutatua
changamoto zinazoikabili badala ya kufikiria namna ya kukusanya mapato tu
kutoka katika sekta hiyo.
Mtaka ameyasema hayo katika kikao
maalum...
Wednesday, May 13, 2020
Wednesday, May 13, 2020
TARURA SIMIYU KUFUNGUA BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA MVUA KUZIFANYA ZIPITIKE WAKATI WOTE
Mratibu wa Wakala
wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Simiyu, Dkt. Eng. Philemon
Msomba amesema Serikali imedhamiria kufungua barabara zote zilizoharibiwa na
mvua mkoani hapa na kuhakikisha zinapitika kwa mwaka mzima ili kuwarahisisha
wananchi mawasiliano na usafirishaji wa
bidhaa...
Saturday, May 9, 2020
Saturday, May 09, 2020
WORLD VISION YAKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA SIMIYU
Shirika
lisilo la kiserikali la World Vision limekabidhi msaada wa vifaa vya kujikinga
na maambukizi ya Virusi vya Corona pamoja na Jengo la zahanati kwa uongozi wa
mkoa wa Simiyu vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 95.7.
Akikabidhi
msaada huo jana Mei 08, 2020 kwa Katibu Tawala wa Mkoa...