Wednesday, December 2, 2020

WANANCHI SIMIYU WAHIMIZWA KUPIMA VVU KUJUA HALI ZAO ZA MAAMBUKIZI

 Wito umetolewa kwa Wananchi mkoani Simiyu kujitokeza kupima Virusi vya UKIMWI (VVU) ili kujua hali za maambukizi ili wale watakaobainika kuwa na maambukizi waweze kuanzishiwa dawa mara moja na ambao watabainika kutokuwa na maambukizi kuendelea kuchukua tahadhali dhidi ya maambukizi hayo.

Wito huo umetolewa na Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Khamis Kulemba wakati akitoa taarifa ya hali ya maambukizi ya VVU katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 mjini Bariadi, ambapo amebainisha kuwa pamoja na huduma za upimaji kutolewa bila malipo bado mwitikio wa upimaji ni mdogo.

“Hadi kufikia Juni 2020 ni asilimia 74 tu ya watu wanaoishi na Virusi vya UKIMWI katika mkoa wa Simiyu walikuwa wanafahamu hali zao za maambukizi, takwimu hizi zinaonesha kwamba katika kila wana Simiyu 100 wanaoishi na VVU, 26 miongoni mwao hawajapima kujua hali zao za maambukizi,”alisema Dkt. Kulemba.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Khamis Kulemba(mwenye suti nyeusi)  akitoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga (aliye kushoto kwake) juu namna Mkoa unavyotekeleza mpango wa Tohara kinga wakati alipotembelea banda la Maonesho la Shirika lisilo la Kiserikali la Intra Health ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mtaalam wa Maabara kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la CUAMM, Juma Lupembe akichukua damu kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga  kwa ajili ya kufanya vipimo, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Baadhi ya wananchi wa Halmashauri ya mji wa Bariadi wakiwa wamejipanga kwa ajili ya kupata huduma za upimaji wa magonjwa mbalimbali,  katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Msanii wa Kizazi kipya Fid Q akitoa burudani katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga (wa pili kushoto ) akipokea maelezo juu ya namna Mradi wa Afya kamilifu unavyotekelezwa na AMREF Health Africa,  katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga akizungumza na baadhi ya watumishi wanaofanya kazi katika Mradi wa Afya kamilifu unavyotekelezwa na AMREF Health Africa, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga(wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Simiyu na baadhi ya wadau wa afya mkoani hapa, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga, akimkabidhi sanduku la kuchangia Mfuko wa Kudhibiti UKIMWI mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi kwa ajili ya kulitumia kukusanya michango ya wananchi na wadau kwenye mfuko huo, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga , akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Maonesho la Shirika lisilo la Kiserikali la Intra Health kwa ajili ya kupata maelezo juu namna Mkoa unavyotekeleza mpango wa Tohara kinga akiwa  amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga(wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Simiyu na baadhi ya wadau wa afya mkoani hapa, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Msanii wa Kizazi kipya Fid Q akitoa burudani katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.
Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga(wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Simiyu na baadhi ya wadau wa afya mkoani hapa, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mtaalam wa Afya kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la Doctors with Africa, Frank Adolf akimpima urefu Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mtaalam wa Afya kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la Doctors with Africa, akitoa maelezo ya uwiano wa urefu na uzito na hali ya lishe kwa Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga(wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Simiyu, viongozi wa dini  na baadhi ya wadau wa afya mkoani hapa, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Meneja Mradi wa Afya Kamilifu mkoa wa Simiyu unaotekelezwa na AMREF Health Africa, Dkt. Mathias Abuya akitoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo Kiswaga (wa tatu kushoto) juu ya mradi huo, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Khamis Kulemba(kushoto)  akitoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga (katikati) juu namna Mkoa unavyotekeleza Mradi wa Afya Kamilifu mkoa wa Simiyu chini ya AMREF Health Africa, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Khamis Kulemba(katikati)  akimuongoza Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga (kulia) na viongozi wengine kuelekea kukagua mabanda ya huduma, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga(wa tatu kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Simiyu , wadau wa afya na wajumbe wa kamati za usimamizi wa afya za wilaya (CMHT) , katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Khamis Kulemba(kushotoi)  akimuongoza Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga (katikati) na viongozi wengine kuelekea kukagua mabanda ya huduma, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa, Bw. Ekwabi Mujungu akisalimiana na msanii wa kizazi kipya Fid Q mara baada ya msanii huyo kutoa burudani, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa, Dkt. Khamis Kulemba(wa  tatu kushotoi)  akimuongoza Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Festo  Kiswaga (katikati) na viongozi wengine kuelekea kukagua mabanda ya huduma, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Kwaya ya AICT Bariadi wakiimba wimbo maalum kuhusu UKIMWI, katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi

Baadhi ya wananchi wa Wilaya ya Bariadi wakimsikiliza Mkuu wa wilaya hiyo, Mhe. Festo Kiswaga wakati akizungumza na wananchi wa mkoa wa Simiyu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Baadhi ya wananchi wa Wilaya ya Bariadi wakimsikiliza Mkuu wa wilaya hiyo, Mhe. Festo Kiswaga wakati akizungumza na wananchi wa mkoa wa Simiyu kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yaliyofanyika kimkoa Desemba 01, 2020 Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi.


0 comments:

Post a Comment

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!