Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. David Kafulila ametoa siku saba kwa Kampuni ya Daska Company Ltd, kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa Barabara ya Byuna/Nkindwabiye/ Halawa barabara yenye urefu wa Km 14.9 na thamani ya Tsh. 139.993 mln.
Tuesday, March 15, 2022
Tuesday, March 15, 2022
MKANDARASI APEWA SIKU 7 KABLA MKATABA KUVUNJWA
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. David Kafulila ametoa siku saba kwa Kampuni ya Daska Company Ltd, kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa Barabara ya Byuna/Nkindwabiye/ Halawa barabara yenye urefu wa Km 14.9 na thamani ya Tsh. 139.993 mln.
0 comments:
Post a Comment