Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. David Kafulila ametoa siku saba kwa Kampuni ya Daska Company Ltd, kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa Barabara ya Byuna/Nkindwabiye/ Halawa barabara yenye urefu wa Km 14.9 na thamani ya Tsh. 139.993 mln.
Tuesday, March 15, 2022
Tuesday, March 15, 2022
MKANDARASI APEWA SIKU 7 KABLA MKATABA KUVUNJWA
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. David Kafulila ametoa siku saba kwa Kampuni ya Daska Company Ltd, kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa Barabara ya Byuna/Nkindwabiye/ Halawa barabara yenye urefu wa Km 14.9 na thamani ya Tsh. 139.993 mln.
Related Posts:
NAIBU WAZIRI SILINDE ARIDHISHWA UJENZI WA BWALO, MADARASA SEKONDARI YA ANTHONY MTAKA BUSEGANaibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. David Silinde ameridhishwa na namna mradi wa ujenzi wa bwalo, vyumba viwili vya madarasa, maabara na… Read More
VIONGOZI SIMIYU WAASWA KUTUMIA BUSARA BADALA YA NGUVU Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka ametoa rai kwa Viongozi wa Serikali mkoani hapa kutumia busara na akili badala ya kutumia nguvu katika kutat… Read More
ZAIDI YA MILIONI 138 ZATOLEWA MIKOPO KWA WANAWAKE SIMIYU Katika mwaka wa fedha 2019/2020 Halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu zimetoa shilingi 138… Read More
UKAGUZI WA CHUMVI ISIYO NA MADINI JOTO UFANYIKE KUNUSURU AFYA ZA WATU: RAS SIMIYU Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bi. Miriam Mmbaga amewataka wataalam kufanya ukaguzi wa matumizi ya chumvi isiyo na madini joto katika maeneo t… Read More
SERIKALI YAANZA MAANDALIZI UJENZI WA RELI YA KISASA MWANZA-ISAKA, BANDARI KAVU KUJENGWA SIMIYU Serikali imeanza maandalizi ya ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Mwanza-Isaka yenye urefu wa kilomita 341 ambayo itajengwa kwa gharama … Read More
0 comments:
Post a Comment