Monday, October 29, 2018

WAZIRI MWIJAGE: SERIKALI INAENDELEA KUJENGA UCHUMI IMARA NA SHINDANI

Waziri wa viwanda,biashara na uwekezaji Mhe. Charles Mwijage amesema serikali  inaendelea kujenga uchumi wa Kitaifa(jumuishi) ulio imara na wenye ushindani  kuelekea uchumi wa kati ifikapo 2025  kwa kuanzia uzalishaji mashambani hadi sokoni. Hayo ameyasema wakati...

MWIJAGE: VIWANDA VIDOGO, BIASHARA NDOGO VINA MCHANGO MKUBWA KATIKA UCHUMI, MAENDELEO, USTAWI WA NCHI

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage amesema viwanda vidogo na vya kati vina mchango mkubwa katika uchumi, maendeleo na  ustawi wa nchi yoyote, kwa kuwa vinatoa ajira kwa watu wengi ikilinganishwa na viwanda vikubwa hivyo havipashwi kubezwa kwa namna yoyote. Mhe. Mwijage...

Saturday, October 27, 2018

NAIBU WAZIRI MABULA ASHAURI WIZARA YA VIWANDA KUANZISHA KLINIKI NGAZI YA KANDA KUWASAIDIA WAFANYABIASHARA

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelina Mabula ameshauri Wizara ya Viwand, Biashara na Uwekezaji kuona namna ya kuwa na Kliniki za Biashara ngazi ya kanda ili kuwasaidia wafanyabiashara hususani wale wanaoanza, wajasiriamali wadogo na wasiojua taratibu za uendeshaji wa biashara...

NAIBU WAZIRI MABULA ATOA WITO WANANCHI SIMIYU KUCHANGAMKIA FURSA YA NYUMBA ZA SHIRIKA LA NYUMBA

Naibu waziri wa ardhi ,nyumba na maendeleo ya makazi Mhe.Angelina Mabula ametoa wito kwa wakazi wa mkoa wa SIMIYU kutumia fursa za nyumba za makazi zinazotarajiwa kujengwa katika eneo la Isanga Mjini Bariadi na Shirika la Nyumba la Taifa Wito huo ameutoa mkoani Simiyu alipokutana na wadau mbalimbali...

Tuesday, October 23, 2018

WAZIRI MKUU MAJALIWA AITAKA SIDO KUPANUA WIGO KUWAFIKIA WAJASILIAMALI KUANZIA NGAZI YA CHINI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameliagiza Shirika la viwanda vidogo nchini SIDO  kuweka mikakati ya kupanua wigo wa shughuli zake kwa kuanzisha vituo katika ngazi ya halmashauri za wilaya ili kuwafikia wajasiliamali wengi zaidi, kuwajengea uwezo, kuwapa miongozo bora ya namna ya kuendesha shughuli...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!