Tuesday, June 25, 2019

ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 30 KUSHINDANIWA SIMIYU JAMBO FESTIVAL 2019

Tamasha kubwa la michezo ambalo hufanyika kila mwaka Mkoani Simiyu (Simiyu Jambo Festival) linatarajiwa kufanyika Juni 30, mwaka huu katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi huku takribani shilingi milioni 32 zikishindaniwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 25, Mratibu wa tamasha...

Monday, June 24, 2019

RC MTAKA AWATAKA VIONGOZI WA SERIKALI SIMIYU KUISAIDIA, KUILEA SEKTA BINAFSI

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amewataka viongozi wa Serikali mkoani Simiyu kuisaidia na kuilea Sekta Binafsi ili iendelee kukua na wahakikishe kuwa maamuzi wanayofanya hayawi vikwazo  katika mazingira ya biashara na uwekezaji. Mtaka ameyasema hayo wakati akifungua Warsha ya Utetezi...

Friday, June 21, 2019

TFDA YAFUNGUA OFISI YA KANDA MPYA YA ZIWA MASHARIKI SIMIYU

Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) imefungua rasmi Ofisi ya Kanda mpya ya Ziwa Mashariki itakayohudumia mikoa ya Simiyu, Mara na Shinyanga ambapo makao makuu ya kanda hiyo yatakuwa Mjini Bariadi mkoani Simiyu. Akitoa taarifa kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka, Kaimu Meneja wa TFDA...

Wednesday, June 19, 2019

UKAGUZI WA KINGA, TAHADHARI YA MOTO UFANYIKE KWENYE SHULE ZA BWENI KUEPUSHA MAJANGA: KAMISHNA JENERALI ANDENGENYE

Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Kamishina Jenerali Thobias Andengenye ameliagiza Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, kuendelea kufanya ukaguzi wa kinga na  tahadhari  ya moto kwa  shule zote za mabweni nchini kujiridhisha ikiwa zimezingatia ushauri wa kitaalam katika...

TUZO YA SERENGETI HIFADHI BORA AFRIKA YATAMBULISHWA KWA WANANCHI SIMIYU NA MARA

Tuzo ya Serengeti Hifadhi Bora zaidi Afrika imetambulishwa rasmi kwa wananchi wa mikoa ya Simiyu na Mara kutoka katika maeneo yanayoizunguka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Akiitambulisha tuzo hiyo Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla Juni 18, 2019 katika Kijiji cha Robanda wilaya...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!