Friday, September 27, 2019

MAMIA YA WAOMBOLEZAJI WAJITOKEZA KUMZIKA MTOTO WA MKUU WA MAJESHI ALIYEFARIKI KWA AJALI YA NDEGE

Mamia ya wananchi kutoka mikoa ya Simiyu, Mara, Shinyanga, Mwanza na Dar es Salaam wameshiriki katika mazishi ya mtoto wa Mkuu wa Majeshi  marehemu Nelson Mabeyo aliyekuwa rubani wa ndege ya Shirika la Auric Air, ambaye alifariki Septemba 23, 2019 kwa ajali ya ndege iliyotokea katika Uwanja mdogo...

Wednesday, September 25, 2019

UONGOZI WA MKOA SIMIYU WABAINI UBADHILIFU WA SHILINGI MILIONI 55 BUSEGA

Uongozi wa Mkoa wa Simiyu umebaini Ubadhilifu wa kiasi cha shilingi  55,580,000/= ambazo ni sehemu ya mkopo uliotolewa na Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Urasimishaji wa makazi Viwanja 3700 katika kata nne za Halmashauri ya Wilaya ya Busega uliofanywa...

Friday, September 13, 2019

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA SIMIYU WAAPISHWA, WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA MIONGOZO KUEPUSHA MALALAMIKO

Wasimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 kutoka katika Halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu wameapishwa Septemba 12, 2019 Mjini Bariadi, ambapo Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini amewataka wazingatie sheria, kanuni, taratibu na miongozo katika uchaguzi...

MAAFISA WATAKAIWA KUTOA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA CHAKULA KUKABILIANA NA UTAPIAMLO

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akifungua Mkutano wa wadau wa lishe wa lengo la makabidhiano ya mradi mapambano dhidi ya utapiamlo kutoka Shirika lisilo la kiserikali la DOCTORS WITH AFRICA (CUAMM) ambalo limemaliza muda wake wa utekelezaji  mkoani Simiyu. Mkuu...

Wednesday, September 11, 2019

WANAFUNZI WA DARASA LA SABA SIMIYU WAAHIDI KUFANYA VIZURI MTIHANI WA TAIFA

Wanafunzi wa darasa la saba katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani  Simiyu wamemuahidi Mkuu wa mkoa Anthony Mtaka hawatamuangusha katika mtihani wa Taifa  Septemba 11-12, kwa kuwa wamejiandaa vizuri na wanaimani watafanya vizuri. Wanafunzi hao wa shule ya msingi Somanda...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!