Thursday, April 30, 2020

MADENI YA PAMBA KULIPWA KABLA YA MSIMU MPYA : KATIBU MKUU KILIMO

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Kusaya amesema Serikali itahakikisha madeni yote ya Vyama vya ushirika vya Msingi(AMCOS), wakulima, ushuru wa Halmashauri na Vyama Vikuu vya Ushirika (UNIONS) kwa zao la pamba ambayo bado hayajalipwa yanalipwa kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa mwaka 2020. Kusaya...

Saturday, April 25, 2020

UONGOZI MASWA WATAKIWA KUMSIMAMIA MKANDARASI UJENZI WA VIWANDA VIKAMILIKE KWA WAKATI

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi Joseph Nyamhanga ameutaka uongozi wa Wilaya ya Maswa kumsimamia Mkandarasi SUMA JKT anayejenga kiwanda cha chaki  na kiwanda cha vifungashio wilayani humo ili akamilishe ujenzi wa viwanda hivyo kwa wakati ili vianze uzalishaji. Nyamhanga ameyasema hayo...

SERIKALI YATENGA BILIONI MOJA KUJENGA WODI HOSPITALI ZA WILAYA, UNUNUZI VIFAA TIBA

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhandisi. Joseph Nyamuhanga amesema Serikali katika Bajeti ya mwaka 2020/2021 Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni moja kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba na ujenzi wa wodi tatu katika kila Hospitali ya Wilaya kwenye Hospitali 67 za Wilaya zilizojengwa...

Wednesday, April 22, 2020

JBS FUEL COMPANY YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE UALBINO BUSEGA KUKABILI CORONA

Mkurugenzi wa Kampuni ya JBS Fuel Company Limited ya Mjini Bariadi, Bi. Lucy Sabu ametoa msaada chakula na vifaa mbalimbali vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona, katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalumu cha Bikira Maria kilichopo Lamadi wilayani Busega. Akizungumza wakati...

Saturday, April 18, 2020

WATU 34 WARUHUSIWA KUTOKA KARANTINI MKOANI SIMIYU

Mkuu  wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka amesema kuwa jumla ya watu 34 kati ya watu 120 waliokuwa kwenye uangalizi maalum (Karantini) mkoani Simiyu wameruhusiwa mara baada ya kupimwa na kukutwa hawana maambukizi ya Virusi vya Corona vinavyosababisha homa kali ya mapafu (COVID-19).  Mtaka...

Kumbukumbu za Blogu

Powered by Blogger.
Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!